Mshana Jr...without sunglasses

Mshana Jr...without sunglasses

Asante mzee kijana.
Makunyanzi chini ya macho na kwenye shavu kando ya pua ni ishara kwamba jua lilishatoka mashariki kuvuka utosini na sasa linatizamika pande za magharibi.
Ushauri,
Ongeza ibaada na tumikia jamii kwa ujuzi wako na mali zako kama sadaka.
Epuka kula wanga mwingi, sukari na minyana nyekundu.
Wosia,
Usihofu katika maisha. Jua lile linalozama magharibi jioni ndilo linaloibukia mashariki siku ya pili yake. Lakini laweza ibuka siku ya mawingu na ukungu lisionekane kabisa au siku ya uangavu na lika--shine katika mbawa zaka.
Ongeza ibaada na tumikia jamii kwa ujuzi wako na mali zako kama sadaka.
Epuka kula wanga mwingi, sukari na minyana nyekundu.[emoji419][emoji375][emoji1545]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.View attachment 1101318
Join me to break the taboo of showing our true self.. You never know about tomorrow... Meet me while you're aware the face you are going to meet (face not heart[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
Jamaa ana sura ambayo haieleweki ya unafiki, uzandaki, ujeuri, ujuaji mwingi ilihali hajui na ulimbukeni
 
IMG-20231010-WA0002~2.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom