Ongeza ibaada na tumikia jamii kwa ujuzi wako na mali zako kama sadaka.Asante mzee kijana.
Makunyanzi chini ya macho na kwenye shavu kando ya pua ni ishara kwamba jua lilishatoka mashariki kuvuka utosini na sasa linatizamika pande za magharibi.
Ushauri,
Ongeza ibaada na tumikia jamii kwa ujuzi wako na mali zako kama sadaka.
Epuka kula wanga mwingi, sukari na minyana nyekundu.
Wosia,
Usihofu katika maisha. Jua lile linalozama magharibi jioni ndilo linaloibukia mashariki siku ya pili yake. Lakini laweza ibuka siku ya mawingu na ukungu lisionekane kabisa au siku ya uangavu na lika--shine katika mbawa zaka.
Jamaa ana sura ambayo haieleweki ya unafiki, uzandaki, ujeuri, ujuaji mwingi ilihali hajui na ulimbukeni.View attachment 1101318
Join me to break the taboo of showing our true self.. You never know about tomorrow... Meet me while you're aware the face you are going to meet (face not heart[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
UkweliJamaa ana sura ambayo haieleweki ya unafiki, uzandaki, ujeuri, ujuaji mwingi ilihali hajui na ulimbukeni
Sura sio roho [emoji23]Naangalia hii sura kwa umakini! Najaribu kuihusianisha na like tukio lako la kumdinya mamkwe[emoji16][emoji16]
Heshima kwako senior.
You seem humble, educated, well informed, also you seem to have enough exposure pia .
Huu mnuso ulikuwa wapi huu? 😳
[emoji1545][emoji1545][emoji1548][emoji1679][emoji173]You seem humble, educated, well informed, also you seem to have enough exposure pia .
Mungu akupe kibali mbele zake mkuu.
Tatizo husalimii watu ukiingia JF, ungejua [emoji23] [emoji1544][emoji1550][emoji1550]Huu mnuso ulikuwa wapi huu? [emoji15]
Hii sura mbona haiendani na ulozi[emoji15]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hii sura mbona haiendani na ulozi[emoji15]
Shkamoo.
Halafu ya mwaka huu nilikaa meza fulani karibu na walipokaa familia ya Maxence🤣Loh.. Muone...[emoji23] ntakujua tuu.. Ulikaa meza karibu na washindi