Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani mkuuKaribu tena rafiki
sura ya pombeNikija Huko daslam na pwani kiujumla nategemea nitakutana na hiyo
sura ya pombe
roho ya ulozi
Fani ya uganga
Sasa sijui tutakutana
kilingeni
Au
Bar!
Utanipa location mkuu Mshana Jr!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Taja location mkuu Bora tukutane barsura ya pombe
roho ya ulozi
Fani ya uganga
Sasa sijui tutakutana[emoji23]
Bora unilimishe tu,ukiniuza Kwa Wapemba Kuna mambo mawiliTaja location mkuu Bora tukutane bar
Maana nikikutana na wewe kilingeni Kuna mambo mawili
1.Uniloge
2.unigeuze msukule
Bora uniloge tu,
Ukinigeuza msukule Kuna mambo mawili!
1.Unilimishe kwenye mashamba Ya nanasi pale msata.
2.Uniuze Kwa Wapemba
Bora unilimishe tu,ukiniuza Kwa Wapemba Kuna mambo mawili
1.kuengua Nazi
2...................(yakheeeeee)
Mambo ya Mombasa!
Bora kuengua Nazi
Hiyo naomba 2
Ndukiiiiiiiiiiiiiiii!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mchawi wa Jf.View attachment 1101318
Join me to break the taboo of showing our true self.. You never know about tomorrow... Meet me while you're aware the face you are going to meet (face not heart[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
Aliyestaafu "UMAJANILIZATION"Mbona unaonekana kama ni tajiri wakati tunakujua ni mlalahoi mwenzetu
Safi kabisa[emoji1545][emoji1545][emoji1534]View attachment 1970032
nimeungana na wewe mshana....najiamini...japo kuna baadhji ya watu humu wanaishi maisha ya mashaka mashaka ....