Mshana Jr...without sunglasses

Mshana Jr...without sunglasses

.View attachment 1101318
Join me to break the taboo of showing our true self.. You never know about tomorrow... Meet me while you're aware the face you are going to meet (face not heart[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
Sura zilizotengenezwa na makande huwa hazijifichi....

Ukavina nendho uneingwa ni??? Kantu kadori (Haka kawimbo alinifundisha mchepuko wangu wa Ugweno pale)

Nabiria NAKWEDE naye aweke yake nikamalizie tambiko December
 
Asanteni sana wana jf, kwa kutoiga kunya kwa temboo[emoji1787][emoji1787][emoji1787],mkuu Mshana Jr ni tembooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].

Katika hili tujipongezeee
 
.View attachment 1101318
Join me to break the taboo of showing our true self.. You never know about tomorrow... Meet me while you're aware the face you are going to meet (face not heart[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
Tulikutana kwenye JF Awards na bahati iliyo njema haujanifehemu na sura yangu ndo hiyo kwenye avatar[emoji1787]
 
Tulikutana kwenye JF Awards na bahati iliyo njema haujanifehemu na sura yangu ndo hiyo kwenye avatar[emoji1787]
Loh.. Muone...[emoji23] ntakujua tuu.. Ulikaa meza karibu na washindi
 
.View attachment 1101318
Join me to break the taboo of showing our true self.. You never know about tomorrow... Meet me while you're aware the face you are going to meet (face not heart[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
Basi mi siku zoooooooote nikawa najua[kudhani najua] kuwa katika avatar ulitumiaga picha ya Prof. Jay. Heeeeh!!!
 
Sura zilizotengenezwa na makande huwa hazijifichi....

Ukavina nendho uneingwa ni??? Kantu kadori (Haka kawimbo alinifundisha mchepuko wangu wa Ugweno pale)

Nabiria NAKWEDE naye aweke yake nikamalizie tambiko December
Sura zilizotengenezwa na makande huwa hazijifichi....![emoji23]
Hii sio sura ya mbege wewe
 
.View attachment 1101318
Join me to break the taboo of showing our true self.. You never know about tomorrow... Meet me while you're aware the face you are going to meet (face not heart[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
Asante mzee kijana.
Makunyanzi chini ya macho na kwenye shavu kando ya pua ni ishara kwamba jua lilishatoka mashariki kuvuka utosini na sasa linatizamika pande za magharibi.
Ushauri,
Ongeza ibaada na tumikia jamii kwa ujuzi wako na mali zako kama sadaka.
Epuka kula wanga mwingi, sukari na minyana nyekundu.
Wosia,
Usihofu katika maisha. Jua lile linalozama magharibi jioni ndilo linaloibukia mashariki siku ya pili yake. Lakini laweza ibuka siku ya mawingu na ukungu lisionekane kabisa au siku ya uangavu na lika--shine katika mbawa zaka.
 
Naangalia hii sura kwa umakini! Najaribu kuihusianisha na like tukio lako la kumdinya mamkwe😁😁
 
Back
Top Bottom