Mnyaluhala.
JF-Expert Member
- Jul 28, 2012
- 1,430
- 1,785
sisi haya ya kwetu hata hayana sera wala dira hayajui yanaekea wapi yao kazi kubwa ni kupinga tu
Juzi Mkutano Mkuu wa Wakuu wa Nchi za East Africa ulivunjika...kuna member mmoja anahisi anaonewa!!! hao walioweza wanashindwaje kumshawishi huyo Jamaa?Kenya wameweza kulikoni sisi tanzania?
Wakenya wameweza kumaliza tofauti zao za kisiasa na kiitikadi,na Sasa ni wamoja wanaijenga Kenya yao kwa umoja,mshikamano na amani,kwanini sisi tanzania tumeshindwa kumaliza tofauti zetu za kisiasa,kiitikadi, na mshikamano umoja,amani na upendo?
Tanzania miaka ya nyuma sisi ndio tulikuwa tunaongoza kwa mshikamano,maridhiano ya kisiasa na upatanishi katika bara la Africa na dunia,ni nini kimeikumba nchi yetu tanzania?
Kanisa katoliki,kkkt,bakwata,na jumuiya nyingine,mnajua kupendana ni amri?
Nawaomba viongozi wastaafu,makanisa,misikiti,na Kila mdau mcha mungu,tujitahidi kupatanisha pale palipo na mpasuko
Mungu ibariki tanzania na watu wake wote
Hahahaaaaa,just hahahahaaa.Sio kwa CCM hii tunayoijua.
Kwanza Kenya ina watu wanaojulikana both Chama tawala na Wapinzani...sisi Tanzania tuna jamii ya Watu wasiojulikana.
Ulishawasikia hao popote tena duniani?
Utapatanaje na watu wasiojulikana?
Mnachosha kila siku kulialia tuu na kusaka sababu za kulalamika bora awafute tu tupumzike na hizo kelele zenuMuulize Magufuli kisa cha kutaka kufuta vyama vingi kwa muswada huu wa kishamba , CCM ndani ya demokrasia ya kweli haiwezi hata kumaliza wiki 1
Magufuli ana siasa zipi za kuunganisha watu?? Embu tuweni serious kidogo ndio zile za kuwapiga vijembe wapinzani wakienda kwenye mikutano yake?? Au ndio zile za kuapa kuwa hakuna mpinzani atamshirikisha kwenye serikali yake hadi akamshangaa shein kwa kuteua mawaziri wapinzani.Magufuli kafanikiwa sana kuwaunganisha hawa jamaa..uzuri upinzani wa kenya hutawasikia wakitukana serikali wala viongozi wake..wala kubeza au kutaka kukwamisha maendeleo mfano kushawishi nchi wahisani au wadeni kuzuia mali za nchi nje..hawa watu hutofautiana kipindi cha uchaguzi na upinzani siasa zao ni za msimu sio kila siku..kwa hiyo ni rahisi sana kuwa pamoja..anachofanya magufuli ni kuleta mfumo wa siasa za kenya huku kwetu..kuwe na mipaka ya kufanya siasa na kuongea siasa..kitu ambacho upinzani wa huku hawataki..ila watafundishwa kwa shuruti.
Shida yenu hamjui siasa za kenya mnakuja tetea msiolifahamu una uhakika wanasiasa wa kenya wa upinzani wana ustaarabu??Wapinzani wakenya ni wastarabu sana na waelewa.. sisi haya ya kwetu hata hayana sera wala dira hayajui yanaekea wapi yao kazi kubwa ni kupinga tu, BASI WANGEKUWA WA MAANA KAMA WANGEKUA WANAPINGA NA KUTOA SULUHISHO ila ni tofauti yanaendesha siasa kwa kutegemea mlango wa pili, yaani siku SISIEM wasposema wakanyamaza basi na upinzani unanyamaza maana hamna cha kusema
Typical Tanzanian thinking.... Eti chadema watetea mafisadi wakati list zote za wezi wa makinikia,Tegeta ESCROW,Almasi,Tanzanite n.k wametajwa CCM watupu kuanzia wabunge mpaka mawaziri je ni hatua gani zimechukuliwa mpaka leo dhidi yao??? Kma hakuna aliyechujua hatua waweza nisaidia nani hapo ndio mtetezi wa mafisadi!!Hatuna haja na watetezi wa mafisadi na mabeberu furaha yao ni ndege zetu zikamatwe, dhahabu zetu ziendelee kuibiwa, tuzidi kushtakiwa mahakama za nje ili tufilisike, kupinga kila kitu hata yale waliokua wakiyapigia chapuo zamani
To hell with those people, now they are dying naturally, Tanzania yetu ya wazalendo hiyooo inapepea, huku Sgr kule Stigler's, pale ndege, huku hospitals, pale bandari, huko mibarabara na mi flyovers, hapa mapato manono, huko Airport yaani hatupoi.
Sidhani kama unaelewa ulichondika,huku kwetu ni vice versa...jiwe ndo anachochea uadui..baada ya uchaguzi nakumbuka raila alijiapisha..imagine jiwe ndo angekuwa raisi kule nini kingetokeaMagufuli kafanikiwa sana kuwaunganisha hawa jamaa..uzuri upinzani wa kenya hutawasikia wakitukana serikali wala viongozi wake..wala kubeza au kutaka kukwamisha maendeleo mfano kushawishi nchi wahisani au wadeni kuzuia mali za nchi nje..hawa watu hutofautiana kipindi cha uchaguzi na upinzani siasa zao ni za msimu sio kila siku..kwa hiyo ni rahisi sana kuwa pamoja..anachofanya magufuli ni kuleta mfumo wa siasa za kenya huku kwetu..kuwe na mipaka ya kufanya siasa na kuongea siasa..kitu ambacho upinzani wa huku hawataki..ila watafundishwa kwa shuruti.