Mshangao: Raila Kisumu Kwa Maandalizi Ya Kumpokea Rais Uhuru

Mshangao: Raila Kisumu Kwa Maandalizi Ya Kumpokea Rais Uhuru

Magufuli kafanikiwa sana kuwaunganisha hawa jamaa..uzuri upinzani wa kenya hutawasikia wakitukana serikali wala viongozi wake..wala kubeza au kutaka kukwamisha maendeleo mfano kushawishi nchi wahisani au wadeni kuzuia mali za nchi nje..hawa watu hutofautiana kipindi cha uchaguzi na upinzani siasa zao ni za msimu sio kila siku..kwa hiyo ni rahisi sana kuwa pamoja..anachofanya magufuli ni kuleta mfumo wa siasa za kenya huku kwetu..kuwe na mipaka ya kufanya siasa na kuongea siasa..kitu ambacho upinzani wa huku hawataki..ila watafundishwa kwa shuruti.
Tahira wewe eti kawaunganisha wakenya wanajitambua mbuzi wewe Kenyatta n Raila hawana ushamba wa madaraka
 
Hatuna haja na watetezi wa mafisadi na mabeberu furaha yao ni ndege zetu zikamatwe, dhahabu zetu ziendelee kuibiwa, tuzidi kushtakiwa mahakama za nje ili tufilisike, kupinga kila kitu hata yale waliokua wakiyapigia chapuo zamani

To hell with those people, now they are dying naturally, Tanzania yetu ya wazalendo hiyooo inapepea, huku Sgr kule Stigler's, pale ndege, huku hospitals, pale bandari, huko mibarabara na mi flyovers, hapa mapato manono, huko Airport yaani hatupoi.
Kweli mkuu chadema ndo waliingia mikataba mibovu na mabeberu mpaka yanaiba dhahabu zetu.....chadema ndo wanavunja mikataba hovyo mpaka tunashitakiwa nje...yaani michadema ituache na nchi yetu tuzidi kutafuta mapato manono..tukiminya tukachukua pensheni za wastaafu huku watumishi wa umma hakuna cha kuwapa increment wala nini lazima nchi isonge mbereeee
 
Shida yenu hamjui siasa za kenya mnakuja tetea msiolifahamu una uhakika wanasiasa wa kenya wa upinzani wana ustaarabu??



Hivi hili tusi angetukanwa Magufuli leo hii Babu angekuwa uraiani kweli if at all sio kaburini??

2. Kuhusu suluhisho inaonekana huna unalojua kwenye siasa....

a) Wapinzani formally wanapinga na kushauri bungeni ndio maana wanatoa maoni ya page kama 100 kwa kila hotuba ya wizara be it bajeti au muswada wa kisheria....

b)Pia wana bajeti mjadala ambako wanaweka masuluhisho yao juu ya ukosoaji waliofanya kwenye bajeti ya serikali kuu sasa kama hiyo sio suluhisho ni nini.

c)Pia kuna vitabu vya sera za vyama na ilani za uchaguzi wa upinzani huko wanaweka sera mbadala ambazo serikali kuu haijaweza kuziainisha kwa ukamilifu wake sasa kama hiyo sio suluhisho ni nini

3. Kuhusu kujibu matukio ya serikali ya CCM hyo ndio principle kazi ya upinzani yaani kucheck serikali iliyopo madarakani kwamba ikikosea tu basi ikosolewe na irekebishwe sasa kama unataka magufuli akikosea eti asiambiwe basi haina maana ya kuwepo upinzani

Naona elimu ya uraia huna umebakia kuongea irrelevance mbele ya wakenya.... Kwa hali hii tutaendelea tu kuwa LDC milele.

Ndio huyo babu Owino alikua amedandia gari la rais huko kisumu

48324004_2433340040027868_673842457066078208_n.jpg
 
Weka kapicha tuwe wapenzi watazamaji.
48283402_2433339986694540_5126343110464372736_n.jpg


48170494_2433340096694529_8993015507498041344_n.jpg


48283402_2433339986694540_5126343110464372736_n.jpg






Alizuru nyumbani kwa Raila Asubuhi kunywa chai

48092405_2434787319883140_2759986992757342208_n.jpg



Nduguye Raila Oburu Odinga
48363260_2434787306549808_5437551926721904640_n.jpg








Kabla kuenda Kisumu, Raila and Uhuru walihudhuria Mashujaa Day pamoja Nairobi tarehe 12 Dec, Kwa hio picha unamuona Jaji Mkuu David Maraga, Governor wa Nairobi Mike Sonko, Raila na Kalonzo Musyoka wote kwa line moja

48053224_2431994246829114_7753704270490238976_n.jpg
 
Ndio huyo babu Owino alikua amedandia gari la rais huko kisumu

48324004_2433340040027868_673842457066078208_n.jpg
Hahahaha ila siasa hizi..... Babu alipigana hadi na Jaguar kisa bifu la Rao na Kenyatta ambao leo hii wamepatana sasa sijui Babu na Jaguar wanajiskiaje... Nafkiri wamejifunza kuacha siasa za chuki sasa.
 
Back
Top Bottom