Shida yenu hamjui siasa za kenya mnakuja tetea msiolifahamu una uhakika wanasiasa wa kenya wa upinzani wana ustaarabu??
Hivi hili tusi angetukanwa Magufuli leo hii Babu angekuwa uraiani kweli if at all sio kaburini??
2. Kuhusu suluhisho inaonekana huna unalojua kwenye siasa....
a) Wapinzani formally wanapinga na kushauri bungeni ndio maana wanatoa maoni ya page kama 100 kwa kila hotuba ya wizara be it bajeti au muswada wa kisheria....
b)Pia wana bajeti mjadala ambako wanaweka masuluhisho yao juu ya ukosoaji waliofanya kwenye bajeti ya serikali kuu sasa kama hiyo sio suluhisho ni nini.
c)Pia kuna vitabu vya sera za vyama na ilani za uchaguzi wa upinzani huko wanaweka sera mbadala ambazo serikali kuu haijaweza kuziainisha kwa ukamilifu wake sasa kama hiyo sio suluhisho ni nini
3. Kuhusu kujibu matukio ya serikali ya CCM hyo ndio principle kazi ya upinzani yaani kucheck serikali iliyopo madarakani kwamba ikikosea tu basi ikosolewe na irekebishwe sasa kama unataka magufuli akikosea eti asiambiwe basi haina maana ya kuwepo upinzani
Naona elimu ya uraia huna umebakia kuongea irrelevance mbele ya wakenya.... Kwa hali hii tutaendelea tu kuwa LDC milele.