Mshangazi wa 1997 ananisumbua anataka nimuoe

dah yaani dogo mwenzako unamwita shangazi
 
Kwa sasa 27 kwa ke ni shangazi.
Unakuta ke Lina mwili mkubwa Kama nyati sababu ya kula kula machips na makuku mixer na ma bia ya offer bar. Kwa nini lisiitwe shangazi
 
Una Umri Gani Mkuu!
🤣🤣
Kama Kwako Mshangazi ni wa 1997..
Bado una safari ndefu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…