Mshauri wa ndoa nataka kufanywa mchepuko

Mshauri wa ndoa nataka kufanywa mchepuko

sanalii

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2018
Posts
1,639
Reaction score
5,767
Binadamu wanapenda kujaji watu kwa kuangalia sifa za nje kitu ambacho mara nyingi siyo sahihi, katika neighborhood ya kazini, one of colleague aliniomba nimshauri kwa yale anayopitia, kwa moyo mkunjufu nilijitahidi kua positive juu ya ndoa yake na bila kupindisha rula, so ikawa kama counselling session, whenever things are down, we sit and talk it helped to unload the mental burden.

Yote ni sababu ya wanandoa kutotaka kuzungumza tofauti na issue walizonazo ndani, wanaona kununiana ndiyo suluhisho, kama mtu haja cheat, makosa mengine yote yanazungumzika, kuweka kiporo cha ugonvi kwa wiki, mwezi n.k, ni hatari kwa ustawi wa wanandani na hupelekea watu kutafuta altenative of where to settle their feelings.

Sasa talking therapy naona inataka ku turn into romantic therapy, labda kwa alivyojudge na tunavyoongea anahisi kuwa am a good guy na naweza kumpa comfort, while in reality I have flaws just as other human beings, I also do have issues in my relationship just as they do though not to their level, no human being is flawless and so the relationship they have.

So nimeona ili niwe upande sahihi wa historia ya ndoa yao, ni mimi kuacha kumpa comfort, au nitakuwa nakosea?
 
Binadamu wanapenda kujaji watu kwa kuangalia sifa za nje kitu ambacho mara nyingi sio sahihi, katika neighborhood ya kazini, one of colleague aliniomba nimshauri kwa yale anayopitia, kwa moyo mkunjufu nilijitahidi kua positive juu ya ndoa
Siti ya kwanza
 
..one of colleague aliniomba nimshauri kwa yale anayopitia, kwa moyo mkunjufu nilijitahidi kua positive juu ya ndoa yake na bila kupindisha rula, so ikawa kama counselling session..
Counseling gani hiyo ambayo ni one sided?
Ungemtaka aje na mwenzie usikilize pande zote counseling ingekuwa na tija zaidi, na msingefika hapo
 
Bro stuka huo ni mtego, na yako itaja kuwa na matatizo kama yake, kimbia
 
Binadamu wanapenda kujaji watu kwa kuangalia sifa za nje kitu ambacho mara nyingi sio sahihi, katika neighborhood ya kazini, one of colleague aliniomba nimshauri kwa yale anayopitia, kwa moyo mkunjufu nilijitahidi kua positive juu ya ndoa yake na bila kupindisha rula, so ikawa kama counselling session, whenever things are down, we sit and talk it helped to unload the mental burden.

Yote ni sababu ya wanandoa kutotaka kuzungumza tofauti na issue walizonazo ndani, wanaona kununiana ndio suluhisho, kama mtu haja cheat, makosa mengine yote yanazungumzika, kuweka kiporo cha ugonvi kwa wiki, mwezi nk ni hatari kwa ustawi wa wanandani na hupelekea watu kutafuta altenative of where to settle their feelings.

Sasa talking therapy naona inataka ku turn into romantic therapy, labda kwa alivyojudge na tunavyoongea anahisi kua am a good guy na naweza kumpa comfort, while in reality i have flaw just as other human being, i also do have issues in my relationship just as they do tho not to their level, no human being is flawless and so the relationship they have.

So nieona ili niwe upande sahihi wa historia ya ndoa yao, ni mimi kuacha kumpa comfort, au ntakua nakosa ?
Kimasihara
 
Someone's wife is a no gone zone. Tumia njia zako zote lakini usile mzigo.
 
Epuka kurogwa au kuliwa ta. Ko achana na huyo victim
 
Ayo mambo ya ushauri wa mahusiano sitaki kabisa kusikia niliwai kuliwa kimasihara na shemeji toka apo nimejifunza kama kuna tatizo tuongee pande zote
Ilkuaje mkuu, pole Sana[emoji848]
 
Ayo mambo ya ushauri wa mahusiano sitaki kabisa kusikia niliwai kuliwa kimasihara na shemeji toka apo nimejifunza kama kuna tatizo tuongee pande zote
Bado shemeji anagusa?
 
Ayo mambo ya ushauri wa mahusiano sitaki kabisa kusikia niliwai kuliwa kimasihara na shemeji toka apo nimejifunza kama kuna tatizo tuongee pande zote

Kwahiyo mnaolewa halafu MNAGONGWA NJE.
Hizi ndoa hiziii...

Wanaume acheni kuoa MTAKUFAA.

#YNWA
 
Uko sahihi, muepuke na umueleze bayana hakuna mkamilifu atakuja kwako ataona una matatizo pia.
 
Back
Top Bottom