Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 52,160
- 48,974
Uli enjoy lakiniAyo mambo ya ushauri wa mahusiano sitaki kabisa kusikia niliwai kuliwa kimasihara na shemeji toka apo nimejifunza kama kuna tatizo tuongee pande zote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uli enjoy lakiniAyo mambo ya ushauri wa mahusiano sitaki kabisa kusikia niliwai kuliwa kimasihara na shemeji toka apo nimejifunza kama kuna tatizo tuongee pande zote
Jiandae, kwa ndoa yako pia kuvunjika, stuka.Binadamu wanapenda kujaji watu kwa kuangalia sifa za nje kitu ambacho mara nyingi siyo sahihi, katika neighborhood ya kazini, one of colleague aliniomba nimshauri kwa yale anayopitia, kwa moyo mkunjufu nilijitahidi kua positive juu ya ndoa yake na bila kupindisha rula, so ikawa kama counselling session, whenever things are down, we sit and talk it helped to unload the mental burden.
Yote ni sababu ya wanandoa kutotaka kuzungumza tofauti na issue walizonazo ndani, wanaona kununiana ndiyo suluhisho, kama mtu haja cheat, makosa mengine yote yanazungumzika, kuweka kiporo cha ugonvi kwa wiki, mwezi n.k, ni hatari kwa ustawi wa wanandani na hupelekea watu kutafuta altenative of where to settle their feelings.
Sasa talking therapy naona inataka ku turn into romantic therapy, labda kwa alivyojudge na tunavyoongea anahisi kuwa am a good guy na naweza kumpa comfort, while in reality I have flaws just as other human beings, I also do have issues in my relationship just as they do though not to their level, no human being is flawless and so the relationship they have.
So nimeona ili niwe upande sahihi wa historia ya ndoa yao, ni mimi kuacha kumpa comfort, au nitakuwa nakosea?
Bahati iyo aitolee wapi haikurudiwa tena pia nimejifunza tangu apoBado shemeji anagusa?
😃😃 imekuwaje mbona hakuna neno la kukufikisha apoYani nina akili mbovu kiasi hiki hadi ni dindishe kwa kusoma hii reply?
Asante 🙏Ilkuaje mkuu, pole Sana[emoji848]
Piga mashine kwanzaBinadamu wanapenda kujaji watu kwa kuangalia sifa za nje kitu ambacho mara nyingi siyo sahihi, katika neighborhood ya kazini, one of colleague aliniomba nimshauri kwa yale anayopitia, kwa moyo mkunjufu nilijitahidi kua positive juu ya ndoa yake na bila kupindisha rula, so ikawa kama counselling session, whenever things are down, we sit and talk it helped to unload the mental burden.
Yote ni sababu ya wanandoa kutotaka kuzungumza tofauti na issue walizonazo ndani, wanaona kununiana ndiyo suluhisho, kama mtu haja cheat, makosa mengine yote yanazungumzika, kuweka kiporo cha ugonvi kwa wiki, mwezi n.k, ni hatari kwa ustawi wa wanandani na hupelekea watu kutafuta altenative of where to settle their feelings.
Sasa talking therapy naona inataka ku turn into romantic therapy, labda kwa alivyojudge na tunavyoongea anahisi kuwa am a good guy na naweza kumpa comfort, while in reality I have flaws just as other human beings, I also do have issues in my relationship just as they do though not to their level, no human being is flawless and so the relationship they have.
So nimeona ili niwe upande sahihi wa historia ya ndoa yao, ni mimi kuacha kumpa comfort, au nitakuwa nakosea?
Du ulikuwa kimasiharaAyo mambo ya ushauri wa mahusiano sitaki kabisa kusikia niliwai kuliwa kimasihara na shemeji toka apo nimejifunza kama kuna tatizo tuongee pande zote
wengi imewakuta hii ila mara nyingi nakumbukaga mamneno ya mtu fulani alinambia ke tunarndeshwa sana na hisia kuliko akili,hivyo inapokuja kwenye mambo kama haya hisia zinapanda zaidi na majuto yanakujaga baada ya tukio...Ayo mambo ya ushauri wa mahusiano sitaki kabisa kusikia niliwai kuliwa kimasihara na shemeji toka apo nimejifunza kama kuna tatizo tuongee pande zote
Mkuu comment km hz zinakupa nguvu sana ya kuendelea Harakati zakoKwahiyo mnaolewa halafu MNAGONGWA NJE.
Hizi ndoa hiziii...
Wanaume acheni kuoa MTAKUFAA.
#YNWA