namaanisha ata trend kwa kuzungumziwa mitandaoni hawa hapa ndiyo watafanya aongeleweHaya sasa ni mahaba yameongea hapa. Utatrend vipi bila kazi mpya?
Sent using Jamii Forums mobile app
Beyonce alimuomba king Ambust pande hizi Africa, Ulikua na mda gani haujamuo gelea Beyonce WeweNinachokukubali ww WCB unawafuatilia sana ni ngumu sana WCB wakifanya kitu wewe husipost ila sio mbaya umeongeza views.
Ila kuna mtu kakopi kutoka kwa Beyonce naona umekaa kimya,plus zile taa alizozipanga ktk triangle nazo kakopi ila kwa kuwa UNAMPENDA WW UNAONA SAWA.Mwenyewe anajiita GOAT........[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] na mbuzi wake kamvalisha Crown ya U-King.
Amelewa huyu mshikeniiiBeyonce alimuomba king Ambust pande hizi Africa, Ulikua na mda gani haujamuo gelea Beyonce Wewe
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Beyonce alimuomba king Ambust pande hizi Africa, Ulikua na mda gani haujamuo gelea Beyonce Wewe
huyo mondi hata akae mwaka mzima bila kutoa kazi yoyote ata trend tu
mkuu biashara inahitaji akili ndefu ndo maana watu wanakubali kupoteza pesa ajili ya matangazo ili watanue wigo, kiba yeye anafanya biashara ya mziki locally hadi anasababisha mashabiki zake wawe na pressure kwa team pinzani wakidhani kuweka ad's ni uchawi kumbe ni kutanua wigoBila ad's trend kwa domo ni ndoto
mkuu biashara inahitaji akili ndefu ndo maana watu wanakubali kupoteza pesa ajili ya matangazo ili watanue wigo, kiba yeye anafanya biashara ya mziki locally hadi anasababisha mashabiki zake wawe na pressure kwa team pinzani wakidhani kuweka ad's ni uchawi kumbe ni kutanua wigo
Yuko na manyumbu..mziki hauko hivyo sio kama mpirahuyo mondi hata akae mwaka mzima bila kutoa kazi yoyote ata trend tu
Lakini wimbo wa Jeje na ka copy pia.kwenye video ya Jeje tu ndiyo Diamond ndiyo alifanya ubunifu bila ku-copy.
ππππππMnanishangaza sana mnaomjibu huyu jamaa.
Inama, tetema,yope, jeje, zote hizo zimekuwa nominated afrimma kwa nyakati tofauti na Kenny kawa nominated afrimma best director mara tatu including mwaka huu na ameshinda mara moja.Hawa WCB hawajui wanamrudisha nyuma director wao na yeye sijui anafikiria nini. Hizo nyimbo zao zita trend ila hakuna hata video moja itakayokuwa nominated kwa tuzo yoyote!!
Director atakuwa na video za views nyingi wakati hana award nomination yoyote. Halafu wataanza kulalamila mbona director wetu hawi nominated? Waanze kutafuta mchawi. Kifupi wawe wabunifu na ukiiga badili kidogo basi si copy cat!!
Yes ila video ya Jeje ni OG apart from copy ya audioLakini wimbo wa Jeje na ka copy pia.