Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Me nawakubali wasanii woteNdio mmefikia huku?[emoji1787][emoji1787] Kwan kila m2 akibaki na team yake shida iko wapi? Mpk mnapeana majina ya mademu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huwezi kumforce binadamu amkubali msanii fulan never... Na kila m2 anamsanii anaemkubali kikubwa kuelewana tu ukiona m2 amekomenti ki team achananaye
Kumbuka pia alianza kutoa povu mwenyewe na siku zote huwa na fight backNdio mmefikia huku?[emoji1787][emoji1787] Kwan kila m2 akibaki na team yake shida iko wapi? Mpk mnapeana majina ya mademu[emoji1787][emoji1787][emoji1787] huwezi kumforce binadamu amkubali msanii fulan never... Na kila m2 anamsanii anaemkubali kikubwa kuelewana tu ukiona m2 amekomenti ki team achananaye
Wa2 wanamakasiriko sanaKumbuka pia alianza kutoa povu mwenyewe na siku zote huwa na fight back
thubutuuuuu ile script hauoni kiwa inafanana na wimbo wa burna boy (on the law) hata ile beat pia inafanana na ngoma ya burna boy (gbona) mpaka introkwenye video ya Jeje tu Diamond ndiyo alifanya ubunifu bila ku-copy.
Huyu hakopi bali anahamisha yote kabisa 😂Kweliii asee anacopy😂😂😂
duhhh 😂
Kwakweli wanaoshindwa kuliona hilo ni mazwazwaAisee apunguze sasa haiwezekani kila wimbo anacopy mikato. D ni msanii mkubwa sana na ana kipaji atulie afanye ubunifu hii haijakaa poa.
hahaaa😂Na baba lao nayo wamecooy kwa yope mbona husemi mmecopy mpka vionjo hahah kweli nyani haoni kundule
Pinga kwa hojaMzee baada ya uzi wako wa cheche kubuma naona umerud tena[emoji3],we jamaa WCB wanakutesa sana..
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Huyu jamaa anakosolewa sana kwa sababu anafanya kazi na Diamond na hater lakini directors wengi wanatumia idea za watu. Video ya mpaka kesho ya harmonize wamekopi idea ya mdogo mdogo ya Diamond, kushoto kulia wamekopi ya baba lao ulisikia wapi inaongelewa??? kuna thread yoyote imefunguliwa humu kukosoa??? Video ya wezele ya mavoko kakopi on the low ya burnaboy kama ilivyo, nani alikosoa??? Alikiba mwenyewe anakopi sema Diamond ni mti wenye matunda.
Hii hoja ya kukopi inatumiwa na haters wa Diamond lakini sio kwamba director wengine hawatumii idea za watu na hilo wala sio kosa as long as umefuata taratibu hasa katika dunia ya sasa ambayo vitu vingi ni marudio.
Burnaboy suala la copy sometime Ni ngumu Sana kulitafsiri na hii Ni kwa sababu ideas nyingi zimefanywa Sana na wasanii wengi,karibia nchi nzima Kuna wasanii wengi wa nchi tofauti tofauti Ukitaka kufanya scene za Beach,club,jangwani,party,viwanja vya mpira,madaraja,treni,Jeneza,magari n.k zimeshafanywa teyali na Ni ngumu Sana msanii kutengeneza video yoyote alafu kusiwe na scene yoyote ambayo hailingani na scenes za wasanii wengine.Na hii ndio ugumu unavyokuja kutafsiri copy unashindwa kujua msanii kakopi au ideas zimefanana?Kwa hiyo bosi katika uelewa wako wa mziki unaona copy cat iendelee tu!! Na unaona Directors walofanikiwa huko mbele wali copy cat hawaku create...!!
yaani unaona copy cat ni ordinary si exception !!
American superstar’s mature response after Diamond Platnumz and Zuchu copied his style in their new track ‘Litawachoma’ - Ghafla! Kenya
Yani wewe umesoma heading umemaliza. Habari inasema huyo jamaa aliombwa na Diamond kuhusu iyo idea.Kwa hiyo bosi katika uelewa wako wa mziki unaona copy cat iendelee tu!! Na unaona Directors walofanikiwa huko mbele wali copy cat hawaku create...!!
yaani unaona copy cat ni ordinary si exception !!
American superstar’s mature response after Diamond Platnumz and Zuchu copied his style in their new track ‘Litawachoma’ - Ghafla! Kenya
Hakuombwa kuhusu hiyo idea. Siwezi post link bila kusoma.Yani wewe umesoma heading umemaliza. Habari inasema huyo jamaa aliombwa na Diamond kuhusu iyo idea.
Anatumia muda mwingi kuangalia kazi za wenzake ili apatemo cha ku-Copy. Msanii wenu kaishiwa mashairi sa hizi kachificha kwe vikolabo uchwara na Zuchu
Kwanini anawatelekeza Lavalava za Queen Darleen ataki kufanya nao Kolabo. Kiki ya Mimi Mars imebuma trendng za mademu zimeshamgomea anatapatapata tu