Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwanaharakati ina sound good sema sasa kitengo gani
Jamani naomba ushauri napenda sana kuwa superstar sema shida ni kwamba sina kipaji chochote afu pia siasa sipendi.naomba ushauri kama kuna njia nyingine za kuwa star ukiachana na hizo
Jamani naomba ushauri napenda sana kuwa superstar sema shida ni kwamba sina kipaji chochote afu pia siasa sipendi.naomba ushauri kama kuna njia nyingine za kuwa star ukiachana na hizo
Msubili Muuza Sura ndio mwenye jukwaa lake atakupa huo ushauri unaotaka.ndugu matola tafaadhali kijana maneno gani hayo
aloo...mrembo kama huyu unamuita kaka?
Dogo chafya huyu!badala ya kutaka ushauri atang'oaje watoto wazuri anatuzuga eti anataka kuwa star!!bongo kuna mastar tofauti!mastar wa redio ambao sauti zao ndo maarufu lakini mionekano hawajulikani,kuna mastar sura zao maarufu lakini hawana maajabu kifedha wala kimuonekano mfano bambo,halafu kuna mastar hawakauki kwenye vichupa,mauzo mia na tuzo za kazi zao ni kulala na mabinti wazuri!Msubili Muuza Sura ndio mwenye jukwaa lake atakupa huo ushauri unaotaka.
Muuza Sura Na huyu anayependa Wacongoman Suveree Ben Kinyaiya sura yake ni full mauzo vipi, watoto wakali anasema nao au wanamuona kama demu mwenzao?Dogo chafya huyu!badala ya kutaka ushauri atang'oaje watoto wazuri anatuzuga eti anataka kuwa star!!bongo kuna mastar tofauti!mastar wa redio ambao sauti zao ndo maarufu lakini mionekano hawajulikani,kuna mastar sura zao maarufu lakini hawana maajabu kifedha wala kimuonekano mfano bambo,halafu kuna mastar hawakauki kwenye vichupa,mauzo mia na tuzo za kazi zao ni kulala na mabinti wazuri!
Kuwa mwanaharakati
Piga picha ama igiza muvi ya ngono
Kama uko shule andika matusi kwenye necta
Jaribu kwenda kumhonga mwnykt wa kamati yoyote ya bunge
Sema wewe ni mdogo/kaka/dada wa msanii diamond afu nenda kwa shigongo na ukomae kabisa hata kama diamond akikanusha(sema mmeshare baba ila mama tofauti-mama yako yuko kijijini)
Muuza Sura Na huyu anayependa Wacongoman Suveree Ben Kinyaiya sura yake ni full mauzo vipi, watoto wakali anasema nao au wanamuona kama demu mwenzao?
Ben ni balotelli yaani marioo mtu wa kupenda kulelewa na mimama!hana historia ya kung'oa demu aliyekuwa katika peak!uhandsome wa ben ni wakichaga madem wajanja hawachenguki na uhandsome wa design ile!.....sema mkuu jamaa ngumi jiwe usimchukulie laini
Slipway miaka ya nyuma pia alishamkalishaga pimbi flani alimpimia nae!...ukinondoni unamsaidia kimtindo!tatizo hana swagga za kinyama yeye uzaire halaf full umassawe na kushobokea mapapaa!Haaaaa bado unakumbuka ile ya ben kumpiga askari wa mlimani city nini? Hahaaaaa siamini ile kitu ben ni boflo tu!
Hapa umetisha Kiongozi, kwanza nilikuwa sijui siku hizi kama Marioo wanaitwa Baloteli hapa nimetoka na neno leo, pili kuna kipindi nilikuwa napiga senene pale kwenye Pub yake Kinyaiya nyuma ya Mango sasa nikawa nashanga huyu jamaa mbona simuoni kutag na watoto wakali!? kumbe ni Gegolo!!Ben ni balotelli yaani marioo mtu wa kupenda kulelewa na mimama!hana historia ya kung'oa demu aliyekuwa katika peak!uhandsome wa ben ni wakichaga madem wajanja hawachenguki na uhandsome wa design ile!.....sema mkuu jamaa ngumi jiwe usimchukulie laini