Mshaurini mwanamke huyu, nitampelekea ushauri wenu.

Mshaurini mwanamke huyu, nitampelekea ushauri wenu.

ndandambuli

JF-Expert Member
Joined
Jul 2, 2017
Posts
948
Reaction score
641
Kafumaniwa mara tatu na mumewe ,mara mbili kasamehewa hii mara ya tatu mumewe kagoma kabisa kumsamehe,anasema anaweza kumdhuru hataki hata kumuona, ila mwanamke ni king'ang'anizi analazimisha kusamehewa maisha yaendelee, ushauri wenu tafadhali.
 
wakushauriwa ni mwanaume sio mwanamke,na ushauri atafute mwanamke mwingine mwenye heshima zake,hivi si mnasemaga wanawake tuko wengi,hasa unashindwaje kufanya maamuzi?lol mwambie aje na mwanamke mwingine aweke hapo ndani,kama huyo mkeo hajasepa kimya kimya.
 
Yaani kuchepuka zote , amefumaniwa na mumewe. alaf anaomba ushauri?

Mwambie its over, hakuna mwanaume anavumilia huo upumbavu
 
Yaani kuchepuka zote , amefumaniwa na mumewe. alaf anaomba ushauri?

Mwambie its over, hakuna mwanaume anavumilia huo upumbavu
Kwa kweli mpaka nataka kuhisi huyo jamaa si bure ana vinasaba na watakatifu waliopita duniani,Mara mbili unafumania bado unamrudisha ndani,aiseeeee tatatananeee
 
Yaani kuchepuka zote , amefumaniwa na mumewe. alaf anaomba ushauri?

Mwambie its over, hakuna mwanaume anavumilia huo upumbavu
Naomba ushauri kwa niaba yake, binafsi nimemshauri achape laba akaangalie maisha mengine mbele ila hanielewi,anataka asamehewe tu.
 
Kwani wana watoto?, umri gani?, mwanamke ni msomi? elimu kiasi gani?

Haya tuendelee,

Mwanaume ana umri gani?, elimu kiasi gani?, je wana mali binafsi nyingi? Mf. Nyumba na mashamba? Kwani mwanzo kwanini alisamehewa?

* Majibu ya haya yataleta taswira
 
Katika pitapita zangu niliwahi kukutana na demu wa aina hyo, anacheat af ukigundua ukamuacha analia sijawah ona king'ang'anizi Kama yule. Yan analia mpka uso unamvimba, muda wote analia mpaka ndugu zake wanamwonea huruma na kumwombea msamaha ila ukimsamehe haipiti muda Tena anacheat. Baadae nkaona nisiwe namfatilia sana mienendo ili apate mwanaume mwingine amuoe Mana Mimi nisingeweza kumuoa kwa tabia ile. Siku hizi ni mjeda.
 
Mwambie hakuna mwanaume anayeweza kuvumlia ujinga huo
 
Ukiona mwanamke umemfumani, halafu sio Mara zote hizo, Mara moja tu, unashauriwa kufanya maamuzi ya kuachana haraka. Kwa ufupi hawa wenzetu, wana maamuzi magumu sana ( baadhi), wako tayari kukupoteza ili acreate space huru ya kuwa na mchepuko wake. Aisee, mwambie afanye haraka before it's noon.
 
Sinaga ushauri kwa kitu linalocheat kwenye mahusiano, mm sifanyagi huo ujinga nikiwa kwenye mahusiano tamaa zote naweka chini, na ikitokea nikacheatiwa nikajuwa, natoa taarifa asipobadirika basi nafanya maamuzi ya kistaarabu.

Oh kumbe amemsamehe Mara mbili? Its enough. Inatosha maana hata mungu anaona. Mwanamke huyo aondoke mapema apate raha zote anazozitamani, amwache mwanaume wa wa watu sio fungu lake.
 
Sinaga ushauri kwa kitu linalocheat kwenye mahusiano, mm sifanyagi huo ujinga nikiwa kwenye mahusiano tamaa zote naweka chini, na ikitokea nikacheatiwa nikajuwa, natoa taarifa asipobadirika basi nafanya maamuzi ya kistaarabu.

Oh kumbe amemsamehe Mara mbili? Its enough. Inatosha maana hata mungu anaona. Mwanamke huyo aondoke mapema apate raha zote anazozitamani, amwache mwanaume wa watu sio fungu lake.
 
Atafute mwanaume ambaye hachoki kusamehe.Kusamehe huwa hakulazimishwi na hapo wa kushauriwa(ili isiendelee au asirudie ujinga wa kusamehe habitual bitch) ni mwanaume,kwani huyo mwanamke wa aina hiyo utamshauri nini hapo.
 
wakushauriwa ni mwanaume sio mwanamke,na ushauri atafute mwanamke mwingine mwenye heshima zake,hivi si mnasemaga wanawake tuko wengi,hasa unashindwaje kufanya maamuzi?lol mwambie aje na mwanamke mwingine aweke hapo ndani,kama huyo mkeo hajasepa kimya kimya.
Tatizo mtenda akitendwa uona kaonewa,atakasirika weee
 
Kafumaniwa mara tatu na mumewe ,mara mbili kasamehewa hii mara ya tatu mumewe kagoma kabisa kumsamehe,anasema anaweza kumdhuru hataki hata kumuona, ila mwanamke ni king'ang'anizi analazimisha kusamehewa maisha yaendelee, ushauri wenu tafadhali.
Hapa umekuja kijanja, huyu atakuwa ni mkeo tuu na si vinginevyo!! Cha kufanya kama mlijenga mwachie nyumba yeye na watoto halafu nenda kalianzishe la kighetto ghetto ila watoto wako uwajali kwa chakula,mavazi, elimu, matibabu nk vinginevyo utakonda kwa maumivu ya moyo.
 
Back
Top Bottom