Kim Jong Jr
JF-Expert Member
- Mar 15, 2014
- 11,074
- 20,608
Safi sana Kijana nimefurahi sana.
excatliy mkuu nmetembelea mgongo wakoSafi sana Kijana nimefurahi sana.
Mpaka sasa imetembea pips 130+ ... Yaani kwa hiyo lot size ya 0.02 utakuwa umepiga USD 26 kwa maana ya 0.02x10x130= 26.....
Kama ungeweka lot size ya 0.04 unngekuwa na USD 52 yaani zaidi ya laki moja tsh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mchunguze vizuri pengine anakula ngada huyoAlianza kama utani baada ya kurudi likizo ya semister ya mwisho huyu mshikaji wangu wa chuo sijui alikutana na nani huko kwao akamshauri kuhusu mambo ya forex,
Alivyorudi akanisimulia kuhusu hiyo inshu mi nilichomwambia ni kitu kimoja tu hiyo kitu ya forex mi nilishasoma sana mada zake huko Jamii forum kwa kina Ontario na kujua hasara na faida zake kuna watu wameunguza acount zao wanalia kilio cha mbwa koko hakunisikia,
Sasa bhana wale watu aliokutana nao huku wakawa wanamshauri anatoka dom to dar kwenye semina na darasa lao na kila akirudi story ni forex,forex na yeye,
Basi bhana miezi kadhaa imepita baada ya kutrade sana na ile acount ya dermal kafungua real Account kinachomkuta huko mi sijui naona tu kila siku anauza vitu,
Alianza na Laptop yake min, akafata desk top yake ,juzi kati kauza mtungi mkubwa wa gase pamoja na jiko lake, naona kabakiwa na friji pamoja na kitanda na ata hivyo naona analipigia mahesabu friji anataka kuliuza na hilo sasa sijui kimempata nini huko kwenye forex,
Daily nampa ushauri aachane na hiyo biashara yake ya forex naona hanisikii sasa mi nasubiri kuona mwisho wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
🙂🙂🙂 FOREX 🙂🙂 SIJUI NI JANA TU NIME SHARE HAPA JOIN TELEGRAM BURE KUJIFUNZA ZAIDI >> BRIGHT FOREX TANZANIA INSTITUTEMBONA MAMBO YANA ELEWEKA TU. NI EITHER USOME KWA BIDII AU UPATE RAFIKI MZURI WA KUKUPUSHI.
View attachment 983331
sawa mkuu haina shidaYah, kikapu kina hela nzuri tu kwa quaters 4 ukiwa makini! Forex is not for everyone but betting is
hela sio za kuchezea ovyoHahahah
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Hahaaa
Yaani Watanzania wanashangazaa, mtu kasoma kabisaaaaaaaaaaa IFM mambo ya finance halafu mambo ya Forex anasema ni utapeli, jitu linafanya kazi benki miaka kumi na tano experience na lina CPA lakini linakuambia Forex ni utapeli yaani unaweza ukalizabua makofi kwa hasira aseee basi tuu. Majitu yapo mjini lakini utadhani yanaishi kijijini kwa jinsi yalivyozubaa. Tuko ktk information age mtu akikuambia kitu cha manufaa kwa nini usiingie ktk the biggest library google uujue ukweli? Daaah Waafrika!!!!!!!!
Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app
Kila mtu anaona kwa mtazamo wake we unalazimisha aamini kuwa sio utapeli itakusaidia nini waache wanaosema ni utapeli na wanaoona sio utapeli waacheHahaaa
Yaani Watanzania wanashangazaa, mtu kasoma kabisaaaaaaaaaaa IFM mambo ya finance halafu mambo ya Forex anasema ni utapeli, jitu linafanya kazi benki miaka kumi na tano experience na lina CPA lakini linakuambia Forex ni utapeli yaani unaweza ukalizabua makofi kwa hasira aseee basi tuu. Majitu yapo mjini lakini utadhani yanaishi kijijini kwa jinsi yalivyozubaa. Tuko ktk information age mtu akikuambia kitu cha manufaa kwa nini usiingie ktk the biggest library google uujue ukweli? Daaah Waafrika!!!!!!!!
Sent from my SM-A510F using JamiiForums mobile app
Hapana ndugu, huu ni uzubaifu na ushamba wa kupitilizaaa. Siku hizi siyo kama zamani asee maarifa karibu yote yapo kwenye mtandao. Ukiniambia kitu saa izi asee nitazama kwenye mtandao usiku kucha kuujua ukweli asee. Ninaamini mtu hadi kuweza kuwa na application ya Jf at least ana kaelimu na ka ujanja fulani. Lakini ninapoona hoja zetu kuhusu Forex na mambo mengine ninazidi kuthibitisha kwamba elimu yetu ina matatizo makubwa mnoo. Mkuu dunia inakimbia sanaaa..vijana wa Kitanzania tusibaki nyuma, leo watu wapo kwenye mambo ya Artificial Inteligence na ma Cryptocurrency sisi bado tupo kubangua korosho kwa meno tutafika kweli? Hapana, tubadilike mkuu.Kila mtu anaona kwa mtazamo wake we unalazimisha aamini kuwa sio utapeli itakusaidia nini waache wanaosema ni utapeli na wanaoona sio utapeli waache
Tchao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana ndugu, huu ni uzubaifu na ushamba wa kupitilizaaa. Siku hizi siyo kama zamani asee maarifa karibu yote yapo kwenye mtandao. Ukiniambia kitu saa izi asee nitazama kwenye mtandao usiku kucha kuujua ukweli asee. Ninaamini mtu hadi kuweza kuwa na application ya Jf at least ana kaelimu na ka ujanja fulani. Lakini ninapoona hoja zetu kuhusu Forex na mambo mengine ninazidi kuthibitisha kwamba elimu yetu ina matatizo makubwa mnoo. Mkuu dunia inakimbia sanaaa..vijana wa Kitanzania tusibaki nyuma, leo watu wapo kwenye mambo ya Artificial Inteligence na ma Cryptocurrency sisi bado tupo kubangua korosho kwa meno tutafika kweli? Hapana, tubadilike mkuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna alie kulazimisha mkuuUsilazimishe tufanane
We fanya hayo sie tufanye mengine
Muachage ujinga wote tufanikiwe kwa mbinu moja. There is no single solution for every problem. Ndomana hata wanasaikolojia wa mapenzi ndoa zinawasumbua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeongea point sanaWatu wanapaswa kufahamu kuwa Forex ni tofauti kabisa na hizi network marketing kama foreveriving n.k. Hakuna kumleta mtu na mtu amlete mtu. Hii ni biashara kama ya beuro de change sema tuu yenyewe unakua online wakati yale maduka yanakuwa physically.
Forex ni biashara kama biashara nyingine , kuna kupata faida na wakati mwingine kupata hasara kama mambo yakienda vibaya. Kwa msingi huo niwaulize ni biashara gani ambayo mtu hutegemea faida tuu bila kufikiri kua pia kuna uwezekano wa kupoteza. Wangapi wanapoteza ktk biashara ya tikiti, wangapi wanapoteza ktk biashara ya nafaka n.k. Sasa kwa nin mtu akipoteza ktk biashara ya Forex inakua nongwa?
Forex ndiyo soko kubwa kuliko yote duniani ambapo daily turn over yake ni takribani dola trilioni tano. Taasisi kubwa na mabenki duniani znafanya biashara hii. Retail traders kama mimi na wewe tuna mchango mdooooogo sana ktk forex almost negligible. Volatility ya soko ndo itakupa faida kama soko likienda upande wako and vise versa.
Ndugu watanzania najua sisi ni wavivu saana kusoma, lakini nivema kasumba hii itutoke tujifunze vitu kabla ya kufanya siyo mara umekimbilia kulima mpunga, tikiti, mara umekimbilia ku tradr forex bila kusoma ukaijua ki undaaani kabisaa.
Halafu syo kila biashara kila mtu ataiweza au ataipendeza, kuna wengine wanapenda kuuza mtumba , wengine mafriji na wengine ku trade forex ndo wanapenda na ni vyema kufanya ukipendacho na usimdharau afanyae usichokipenda maana mwisho wa siku ni mkate ukae kwenye meza. Mimi siyo mkufunzi wa forex lakini ukitaka nitakuelekeza wapi ukasome maana maatifa ni kitu cha muhimu saana hata kama usipotaka kuwa trader lakini kujua vitu ni muhimu sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo wakati unafundisha upo serious sana utafikri unatoa mafunzo ya jeshi.Mkuu sasa unataka ufundishwe bure kabisa? Sehemu anayokufundishia analipia, muda ule anaokuandalia materials na kukufundisha angeweza kuwa anatrade au anafanya mambo mengine halafu mtu ukilipia ndio unaonekana how serious you are. Mimi watu walishanifuata niwafundishe japo sio mtaalam kiivyo walau vitu vidogo vidogo naweza kumuelekeza mtu, unaenda nae wee baadae anaanza kuleta stori nyingine za kipumb.avu unafikiria muda ule wote uliopoteza si bora ungelala tu au ungezama library kuongeza maarifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Daah!Forex ni kama ulokole tu.
Mniwie radhi walokole wote humu sina maana ya kuwakashifu.
Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
Acha aishiwe kila kitu getho akili imkae sawa sawaAlianza kama utani baada ya kurudi likizo ya semister ya mwisho huyu mshikaji wangu wa chuo sijui alikutana na nani huko kwao akamshauri kuhusu mambo ya forex,
Alivyorudi akanisimulia kuhusu hiyo inshu mi nilichomwambia ni kitu kimoja tu hiyo kitu ya forex mi nilishasoma sana mada zake huko Jamii forum kwa kina Ontario na kujua hasara na faida zake kuna watu wameunguza acount zao wanalia kilio cha mbwa koko hakunisikia,
Sasa bhana wale watu aliokutana nao huku wakawa wanamshauri anatoka dom to dar kwenye semina na darasa lao na kila akirudi story ni forex,forex na yeye,
Basi bhana miezi kadhaa imepita baada ya kutrade sana na ile acount ya dermal kafungua real Account kinachomkuta huko mi sijui naona tu kila siku anauza vitu,
Alianza na Laptop yake min, akafata desk top yake ,juzi kati kauza mtungi mkubwa wa gase pamoja na jiko lake, naona kabakiwa na friji pamoja na kitanda na ata hivyo naona analipigia mahesabu friji anataka kuliuza na hilo sasa sijui kimempata nini huko kwenye forex,
Daily nampa ushauri aachane na hiyo biashara yake ya forex naona hanisikii sasa mi nasubiri kuona mwisho wake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida kila kitu mnataka mfundishwe mbona sisi wengine tumekomaa wenyewe..... Internet inafanya kazi gani sasa?Aisee haya mkuu ila me nilikuwa na nia ya dhati kabisa kujuaa lakini nlipoona kujifunza tu mpaka nilipiee Lakii...mtu mwenyewe simjui vizuri nikaona kila dalili ya kupigwaa...nkaogopa kuwa fursa..
Sent using Jamii Forums mobile app