Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Hapo ndio utapeli ulipo lala sasa
unanunua nini kutoka kwa nani na ukafanyie nini
na una uza kwa nani na akafanyie nini
ni nani ana determine bei kupanda na kushuka na anatumia vigezo gani?

akili za kwako chamganya na zakuambiwa
Huo mstari wa mwisho unafanya maswali hako yasijibike kwa sababu inaonekana tayari una majibu hako mfukoni.... so unauliza kutukejeli tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Maxence kapigwa kumbe[emoji1787][emoji1787][emoji1787], Shem buana
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…