Mshikaji wangu ameanza kucheza forex, kila siku anauza vitu kidogo kidogo

Status
Not open for further replies.
Hii nchi imejaa misukule... Nchi ina RAIA million 50+ lakini amini nakwambia kati ya idadi hiyo ni raia hawazidi 1000 wenye sifa za kuitwa binadamu. Mingine yote iliyosalia ni Mi swala,Nyumbu na misukule ya kuswagwa na fimbo.


Nchi Bado ina safari ndefu ya kuwageuza hii misukule kuwa binadamu Kamili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha utapeli, waambie watanzania ukweli,..s.h.w.a.i.n eti nimeingiza sh ngapi??!!mipichapicha yako hainitishi hapa, watumie familia yako,mimi inaninufaishaje?, kha!

Sent using Jamii Forums mobile app
Siyo mipicha haikutishi jombaaa.
Hata kusoma na kuelewa hicho kitu alichokituma nna uhakika huweziii yaani hapo umeona mi namba tuu hujaelewa kitu. Hiyo ni shule ya finance mzee imekupita pembeni kubali tuu uingie memkwa. Japo mkuu siyo lazima ufanye Fx maana kila mtu hufanya apendacho, lakini syo poa tena kuponda afanyacho mwenzio maana akifanya wew hupungukiwi wala kuongezewa kitu.
Jomba Forex syo network marketing.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niulizie bei ya friji tafadhali [emoji16][emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fresh tu hamnitamanishi wala nini
 
Hii kitu inahitaji muda sana....Nam npo huko huu ni mwaka tabrikan wa tatu........Nmetrade sana nmepata faida na hasara pia now najifua tena mdogomdogo..ukiikurupukia unaweza uza mpaka CHUPI

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu shida nikwamba namba za simu hatupendi ziwe kwa jukwaa afu kuwa na moyo wa kusaidia wengine naamini hadi unafikia level za kutengeneza zaidi ya $2000 ulishawahi kuomba msaada usiwe na desturi hiyo mkuu, Mimi mmojawapo nimekufata inbox na nimekuomba unielekeze namna ya kutrade ktk meter 4 kama hutojali unipe msaada wako tuu huo basii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natumaini nipo kwenye hao 1000[emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haa ha ha... wanaojua Forex wanaringaa utadhani wakikufundishaa utawashinda utajirii... kumbe umaskinii tuu mpaka bhasii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu sio kwamba Nina kiburi. Hapana. Sina kiburi kabisa na wala sijivuni kwa lolote.

Nikwambie tu ninajua vichache sana kwenye forex ndio maana kila siku haipiti kama sijasoma kitu cha forex au kutazama channel ya Blomberg kuongeza maarifa ya financial market.


Kama umekuwa ukifuatilia comments zangu kuhusu forex. Sijawahi hata siku moja kuweka referal link, WhatsApp link au Channel yoyote ya kumvuta MTU ili nimuombe hela. Sijawahi abadani. Huwa najitoa kueleza kile nijuacho ila mwisho wa siku unaitwa tapeli na majina mengine mabaya. Awali nilikuwa nachati na watu PM ila hao hao wanakuja hapa na ngozi nyingine kukuita Tapeli wakati sijawahi kumuomba MTU hata mia.


Ndio maana nikaamua mijadala yote nitakuwa naifanyia hadharani. Kama kuna kitu naomba unitag nitakuja kujibu. Sina uchoyo wa maarifa. Na ninapenda vijana tuwe vizuri.


NB: Naomba uniambie mt4 inakusumbua kwenye nini na nini ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Boss kile kitabu nimekikosa hauwezi kukiweka hapa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mt4 ninayo kwa simu shida namna ya kufanya trading tuu, kuweka order, kubuy kusell, yani vitu vidogo vidogo ktk trading mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…