Kweli AkalimeSearch sandile shezi, ni dogo wa south msikilize upate proof, km hutamuamini na huyo basi kalime matikiti, ni kilimo chenye utajiri maradufu, heka moja unavuna milioni 300 kwa mauzo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo ndipo tabu ilipo, mtu anakubania halafu mchezo wenyewe uko kama kamari kuna mda unapigwa mashine na magraph unachoma account kabisa. Kufundishana watu wanaleta roho mbaya wengine ndio wanatumia kama mwanya wa kuwapiga wenzao hela!Haa ha ha... wanaojua Forex wanaringaa utadhani wakikufundishaa utawashinda utajirii... kumbe umaskinii tuu mpaka bhasii
Sent using Jamii Forums mobile app
Yanii hapo ndo Naamini hela wanazopata Haoo wa Forex nyingi za Kufundishaa watu kulikoo Kulaa kwa Forex yao hiyooo..!! Wangekuwa wanapiga pesaaa za kutosha wasingekuwa na uchuu na Vilakii vyetuuHapo ndipo tabu ilipo, mtu anakubania halafu mchezo wenyewe uko kama kamari kuna mda unapigwa mashine na magraph unachoma account kabisa. Kufundishana watu wanaleta roho mbaya wengine ndio wanatumia kama mwanya wa kuwapiga wenzao hela!
duuh kajenga Hosp kwa Forex...[emoji23][emoji23][emoji23] Huyo itakuwa alikuwa anashinda Library kusomaa piaa anajua Forex kuliko kitu chochoteeFrom my experience; kwa nchi ndogo na inayokuwa kama hii kwann tunakuwa na mifano hasi mingin kuliko mifano chanya yawezekana kweli forex ni uhuni au wizi wa kisasa lakini kwanini tunakosa hata mifano chanya ya kutoleana tanzania tunaishi kizaman sana kuliko sehemu kubwa ya dunia. Somedtimes we need to learn too fast to reach somewhere ,,i didnt do forex but its really bussiness na nina mifano hai kuhusu hii biashara i have my uncle in US ameweza kujenga hospital america kwa hii biashara just imagine hospital in US yy kama mentor wetu anatutumia videos,tutorials, na mawasiliano ya forex guru wengne but mm sipo interested sana ila kuna mdogo wangu mpaka kawa guru anafanya vzur sana kwny bussness ukimpa 35 mpaka lak1 kwa siku anapata 400- 1 mil na kuna sku analoose pia ila yote hela kikubwa kuna umri tunatakiwa kujifunza na kutokuhofia kukosea learn as much as U can hii ndo principle nzur ya maisha so muachen kijana apambane kwan frigi,computer ndo nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila jamaa akiletaga familia yake huku bongo na kucheza forex kwa internet ya huku uwa anapata loss sana anavyodai so mara nyng haenjoy akiwa bongo hapa gheto katuachia vitabu zaid ya 100 na vyote ametuambia tuvisome ili tuielewe forex undani wake yy kashamaliza coz alianza tangu mwaka 2008 hii forex mzee miaka mi3 baada ya kutia maguu USduuh kajenga Hosp kwa Forex...[emoji23][emoji23][emoji23] Huyo itakuwa alikuwa anashinda Library kusomaa piaa anajua Forex kuliko kitu chochotee
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Mwambie aache upuuz kuna ndugu Yangu alikuja kunambia hii kitu ya forex nikamwambia hii kitu naijua zaman sana kabla yako kuna akili kubwa inaitwa Ontario iliileta jf watu wakapigwa akiwemo mwenye jf mwenyewe bwana mello na akili kubwa mwingine anaitwa ruge naye alipigwa pia
Biashara ni uzalishaji mali na Huduma hizi zingine ni majanga tu
Ontario bhana nukuu yake moja kajamaa kanasema hii biashara ya forex hata bank hawaijui na hawatak kabisa uijue, duh salute sana ontario
Bongo forex naona watu hawawiii mabilioneaa...Ila jamaa akiletaga familia yake huku bongo na kucheza forex kwa internet ya huku uwa anapata loss sana anavyodai so mara nyng haenjoy akiwa bongo hapa gheto katuachia vitabu zaid ya 100 na vyote ametuambia tuvisome ili tuielewe forex undani wake yy kashamaliza coz alianza tangu mwaka 2008 hii forex mzee miaka mi3 baada ya kutia maguu US
Sent using Jamii Forums mobile app
Good analysisBiashara ipo ktk misingi ya ku forecast..unanunua kwa bei ndogo uuze kwa bei kubwa na una iwe ni biashara ya vitunguu, michele, magari n.k. Ukishindwa ku forecast sawasawa soko likaenda against your favor unakula za uso haijalishi ni biashara ya forex au mazagazaga. Hapo ndo watu wanashindwa kutofautisha betting na biashara hii ya forex. Ok sawaa tuseme bass hata biashara ya korosha ni betting maana watu walilima lakini ikala kwao..na mahindi ivo ivo na bidhaa zote ivo ivo hakuna garantii kama utauza au itadoda. Forex ni biashara kama biashara nyingine tunaforecast baada ya kulipembua soko na kuona wapi litalalia na sisi tukalale huko kwa faida.
Sent using Jamii Forums mobile app
Weee jamaaa umekuwa mbishi kupitiliza unataka usibitisho umepewa bado sasa sijui unataka nini iyo anayokuonyesha hapo ni sawa na duka la nguo mwenye duka pale ndio ofisi yake yakufanyia kazi kutwa lazima umkute pale ndio kama alivyoonyesha jamaaa maana anatembea na ofisi yake sehem yoyote ile inayomletea pesa sasa wewe unaetaka ushuhuda utadhani uko kwa mwamposa au mama rwakataleMnashindwa kudhibitisha mnachoongea mnaleta hoja dhaifu.imebaki kuonesha graph tu. Tell us what u got thru folex.
Mkuu hiki kitabu nimeshindwa kufungua naweza kutumia program ganiNgoja nikuwekee hapa.
Kinaitwa "High Probability Trading Strategies" cha Robert C. Miner
Angalia mambo yake chini hapo.
Ni technique ukiielewa unaweza kutokwa na machozi ukajiuliza "ni kwa nini sikuijua Forex mapema??"
View attachment 986479
View attachment 986480
Adobe Acrobat readerMkuu hiki kitabu nimeshindwa kufungua naweza kutumia program gani
Sent using Jamii Forums mobile app