Mafian cartel
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 3,876
- 7,118
Kama ulikua hujui mshindi wa kombe la dunia pamoja na washiriki wengine mwaka huu wanabeba kibunda cha Thamani gani basi soma hapo chini
Kwa mujibu wa Fifa ilitenga kiasi cha $440m(Trilioni 1.3Tsh) kwa ajili ya mataifa yote 32 yatakayo shiriki michuano ya kombe la dunia mwaka 2022 huko Qatar
Mchanganuo ni kama ifuatavyo
Mabingwa watabeba $42m(Bilioni 98.3Tshs)
Nafasi ya pili $30m (Bilioni 70.2Tsh)
Nafasi ya tatu $27m(Bilioni 63.2Tsh)
Nafasi ya Nne $25m (Bilioni 58.5Tsh)
Timu zilizotolewa hatua ya robo fainali
Zipo nne kila moja itapata Bilioni 39.7 Tsh
Timu zilizotolewa hatua ya 16 bora zipo nane kila moja itapata Bilioni 30.4Tsh
Timu zilizotolewa hatua ya makundi zipo 16 kila moja itapata Bilioni 21Tsh
Source:Aljazeera
Nawasilisha
View attachment 2450224
Kwa mujibu wa Fifa ilitenga kiasi cha $440m(Trilioni 1.3Tsh) kwa ajili ya mataifa yote 32 yatakayo shiriki michuano ya kombe la dunia mwaka 2022 huko Qatar
Mchanganuo ni kama ifuatavyo
Mabingwa watabeba $42m(Bilioni 98.3Tshs)
Nafasi ya pili $30m (Bilioni 70.2Tsh)
Nafasi ya tatu $27m(Bilioni 63.2Tsh)
Nafasi ya Nne $25m (Bilioni 58.5Tsh)
Timu zilizotolewa hatua ya robo fainali
Zipo nne kila moja itapata Bilioni 39.7 Tsh
Timu zilizotolewa hatua ya 16 bora zipo nane kila moja itapata Bilioni 30.4Tsh
Timu zilizotolewa hatua ya makundi zipo 16 kila moja itapata Bilioni 21Tsh
Source:Aljazeera
Nawasilisha
View attachment 2450224