Mshindi wa kombe la dunia atapata Bilioni 98.3

Mshindi wa kombe la dunia atapata Bilioni 98.3

Mkeka huu hapa
Screenshot_20221217-222404.jpg
 
Caf champions league tu wanakucha trillion hii kamba labda kama bado hazijabadilishwa kwenye dollar.
 
Caf champions league tu wanakucha trillion hii kamba labda kama bado hazijabadilishwa kwenye dollar.
Mkuu hebu acha uongo basi Caf champions league ipi wanayokunja Trilioni??
 
Mbona pesa ndogo sana hio kulinganisha thamani ya mchezo wenyewe
 
Mkuu hebu acha uongo basi Caf champions league ipi wanayokunja Trilioni??
Bingwa wa Caf champions league anapata nyingi kuliko huo utopolo hapo juu kama team inafuzu makundi tu narudia hii kamba.
 
Sio kweli ni UEFA tu inayoizidi world cup kwenye prize money kwa mshindi
 
Back
Top Bottom