Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti wa tume bado anashauriana na wenzie
Sa hivi ni saa 16:54; washayatangaza,Sasa hivi ni saa 15:17,vipi huko??
Saizi ni saa ngapi? 😆😆😆😆😆Ikiwa zimepita siku saba (07) tangu Wakenya wapige kura katika uchaguzi Mkuu uliofanyika tarehe 09/08/2022, Muda mfupi ujao Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) inatarajia kumtangaza mshindi wa kiti cha Urais. Iwapo Rais Mteule atatangazwa leo na asipate zuio la kupingwa mahakamani, ataapishwa Agosti 30, 2022 siku 14 baada ya Matokeo kutangazwa.
Utaratibu huu ni tofauti na Tanzania ambako matokeo ya Urais hutangazwa mapema takribani siku mbili (02) baada ya kupiga kura.
View attachment 2324416
Da mkuu sasa ile I'd yako ya zamani huitumii Tena? Jecha wa bongo weweHapana mbona mm nipo tayar
Hahaha asee leo umetoa matokeo hongera sanaNiombeeni Sana watanzania nitoe matokeo halali
Msalimieni jecha pia