Mshiriki wa kilimo cha tikiti 2019

Mshiriki wa kilimo cha tikiti 2019

oscer

Member
Joined
Sep 24, 2014
Posts
22
Reaction score
8
Habari wana jamii natafuta patna ambae yupo sirious tufanyenae kilimo cha matikiti kwa msimu huu wa masika project ianze mwezi wa 12 /1/2019 itaisha mwezi wanne. Tutalima hekari 6 patna awe na vigezo vifuatavyo

1. Awe tayari kuishi karibu na shamba kwa siku 75 ambazo kufikia hapo tutakuwa tumemaliza kazi
2. Awe tayari kuchangiana kiasi cha shilingi 600,000 ambazo tutachangiana ilikufikia m 1.2 ambayo ita cost kilakitu nishapiga hesabu

3. Awe mwenyenia mchapakaxi pia

NB: Maeneo ni Mbeya Usanga ila alie tayari kutoka mkoa wowote hatakama anafamilia mambo ya makazi tutafanya mpango kikubwa awe nania ya kazi tupige kazi miezi siku 75 hizo .

Mawasiliano
Kwa aliye tayari
cl.sms.wasap. 0752164502
tigo 0652300557
asante
 
habari wana jamii natafuta patna ambae yupo sirious tufanyenae kilimo cha matikiti kwa msim huu wa masika project ianze mwezi wa 12 /1/2019
itaisha mwezi wanne.
tutalima hekari 6
patna awe na vigezo vifuatavyo
1 , awe tayari kuish karibu nashamba kwa siku 75 ambazo kufikia hapo tutakuwa tumemaliza kazi
2, awe tayari kuchangiana kiasi cha shilingi
600.000 ambazo tutachangiana
ilikufikia m 1.2 ambayo ita cost kilakitu nishapiga hesabu
3 . awe mwenyenia mchapakaxi pia
nb
maeneo nimbeya usanga ila alie tayari kutoka mkoa wowote hatakama anafamilia
mambo yamakazi tutafanya mpango kikubwa awe nania ya kazi tupige kazi miezi siku 75 hizo .
mawasiliano
kwa aliye tayari
cl.sms.wasap. 0752164502
tigo 0652300557
asante
Sio zao rafiki kwa mvua,mi nilishauriwa kuanza kulima mwezi wa tatu kwa Dar.Zingztia kalenda ya mazao
 
Back
Top Bottom