dah! greti thinka hapa nimegundua kwamba na shosti ni anaza viktim. poleni nyote bana! mungu atawalipia
hahahah du umekosea vibaya sana,sijawahi na haitanitokea mwanawane ila kila nnakopita vilio ni hivyohivyo,nikisikiliza miziki nakutana na hayohayo ndo maana nabata ushungu..