Mshkaji wa karibu kammega demu wangu

Mshkaji wa karibu kammega demu wangu

dah! greti thinka hapa nimegundua kwamba na shosti ni anaza viktim. poleni nyote bana! mungu atawalipia

hahahah du umekosea vibaya sana,sijawahi na haitanitokea mwanawane ila kila nnakopita vilio ni hivyohivyo,nikisikiliza miziki nakutana na hayohayo ndo maana nabata ushungu..
 
hahahah du umekosea vibaya sana,sijawahi na haitanitokea mwanawane ila kila nnakopita vilio ni hivyohivyo,nikisikiliza miziki nakutana na hayohayo ndo maana nabata ushungu..
dah! lakini ni fresh kupata maeksperiensi ya kuumizwa bana! kama haujaumizwa unakuwa b w e g e flani hivi. si unaona ivuga amekuwa soldier sasa. habana rafiki! habana kaimati!
 
dah! lakini ni fresh kupata maeksperiensi ya kuumizwa bana! kama haujaumizwa unakuwa b w e g e flani hivi. si unaona ivuga amekuwa soldier sasa. habana rafiki! habana kaimati!
hahahahahah ila haya nafikiri ni muendelezo wa vituko vya jini mahaba...
 
hahahahahah ila haya nafikiri ni muendelezo wa vituko vya jini mahaba...
huyu na yeye anatuyeyusha sana bana! mara kamegewa , mara jini mahaba, mara waifu kenda msalani mimba imetoka! hizi skript zake zinafanana na za king majuto.
 
Bila kupatwa na makasheshe kama haya utamthamini vipi akupendaye kiukweli?
Moja, akupendaye kiukweli kamwe hawezi kukufanyia kama alivyofanyiwa Ivuga!

Mbili,utawezaje kweli kumthamini mtu aliyekusaliti na kukuletea maumivu ya moyo? Kweli watu tumetofautiana.

...aisee, kama umeni quote vibaya vile, au?
Ushauri wangu kwa Ivuga nilikusudia huko mbele ya safari, atapopendwa naye apendeke.
 
namshangaaa!
Watu wengine utafikiri wanakunya akili.

mmmmmmmmmmmmh
Hata wewe unaongeaga hivi, tena bila kuchokozwa???
Sio fresh my dia, hebu mwaga apology kuonyesha uungwana na kuwa uliteleza vidole kwenye keypad ya sim yako.


Anyway mkuu Ivuga
Hilo la kusaidia mtu naomba utulie kwanza then tafakari, hapa naona kama ni hasira tu ndio zimesema hayo.
Mrembo wako tayari kavunja katiba yenu ya upendo, toa maamuzi kwa mujibu wa katiba mliyojiwekea.
Ila acha kabisa kuji-commit JUMLA JUMLA ktk mapenzi na pia acha kuamini mwanadamu.
Endelea kusaidia mtu yeyote atakae kuomba msaada ambao uko ndani ya uwezo wako, na ukisha saidia SAHAU.
Mungu pekee ndie atakurudishia fadhila za kweli, sio mwanadamu.
 
huyu na yeye anatuyeyusha sana bana! mara kamegewa , mara jini mahaba, mara waifu kenda msalani mimba imetoka! hizi skript zake zinafanana na za king majuto.

Sio Shigongo??
 
huyu na yeye anatuyeyusha sana bana! mara kamegewa , mara jini mahaba, mara waifu kenda msalani mimba imetoka! hizi skript zake zinafanana na za king majuto.

hahahahahahhhhahah unajua kina kanumba wangekuwa wanapita humu kila wiki wangetoa movie mpya.
 
&lt;font size=&quot;3&quot;&gt;Kama demu wako amemegwa na mshikaji, basi ujue wewe una defficiences fulani fulani katika mwenendo wako wa mapenzi!&lt;br /&gt;<br />
Ni muda sahihi kwako kujipeleleza na kuibuka na majibu ya nini unashindwa kumridhisha nacho!&lt;br /&gt;<br />
Kukata misaada kwa ndugu na jamaa hakutasaidia kitu, zaidi sana utazidi kuumizwa tena kwa sana...&lt;br /&gt;<br />
&lt;/font&gt;
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
mkuu PJ kuna mademu wengine ni madege yasiyoliwa kaka haijalishi anaridhika au la, nadhani wana pepo wa ngono
 
kweli naungana na wana JF kwa kumwambia rfki yetu kuwa hiyo kitu haisomi kilomita hivyo avumilie tu na pia ukiona demu wako anamegwa na rafiki yako ujue unao upugufu wa kummega haumtoshelezi ndo maana anatafuta tiba mbadala.

wewe ndugu yangu haa mambo hayajakukuta ndio maana unaropoka tu hapa
 
Pole sana mkuu, rafiki mkia wa fisi.........., rafiki mkia wa komba ukiuchezea uta...........................We endelea kusaidia watu bana kila mtu na tabia yake.
 
...aisee, kama umeni quote vibaya vile, au?
Ushauri wangu kwa Ivuga nilikusudia huko mbele ya safari, atapopendwa naye apendeke.

Ni kweli Mbu, nilikunukuu vibaya na nadhani nilikusoma vibaya pia. Kumradhi kwa usumbufu wowote ulioupata.
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Ivuga, tatizo nini hapo? si mshikaji wako ameamua naye kukusaidia? Pole broda, analipa fadhila, misaada ni either way!

point taken...ndio maana nikasema siji kusaidia tena (direct help) kwangu hapa ndio mwisho wake .
 
Pole sana kwa hiyo misfortune. Wanasema kila jambo liwe baya au zuri linalomtokea mtu basi kuna asilimia fulani anahusika.

Tukio hilo baya ni funzo kwako/kwetu pia kujua wapi tunakosea mathalani kumwamini mtu kupita kiasi, kutoa fursa kwa rafiki kuwa karibu na mpenzi wako na mengine mengi. Lengo ni kujifunza yasikutokee tena maishani.

Kuhusu huyo she ni wazi kuwa hakufai kwa maana ya kutokukuheshimu kwa kutembea na mtu anayekufamu let alone kucheat. Find sometime ongea nao wote kuregister malalamiko yako na kujua kwanini? Hilo litakusaidia sana kwani maisha lazima yaendelee.
 
KWAIYO KM UNGEKUWA AUJAMSAIDIA MACHUNGU YASINGEKUWA MAKUBWA?
usitoe maneno et kwa sabbu umemsaidia

kosa lako ni kummega demu wako full stop

lakin pia mtu akisaidiwa na wewe aipaswi akulate down?


mambo madogo ayo ilioshwa mpya we kaa na demu uzungumze nae akikiri kosa mwambie akueleze mapungufu yako then jirekebshe afu km kawa......acha kumsimanga rafiki ako....KWAN USINGEMSAIDIA AU ANGEKUWA MTU BAK TU NDO ANGESSHNDWA KUKUMEGEA?

yaani hapa ndio hii kitu imeniuma sana kwa sababu ni mtu ambaye ninaye mjua
bora hata angetoka huko na mtu ambaye si,jui lkini rafiki yanngu kabisa na ambaye nilimsaidia sana kama ndugu wa tumbo moja....................tenda wema kweli uende zake
 
Back
Top Bottom