Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Lkn asiuze au kuwekwa dhamana bila kukupa taa taarifa.
Mara nyingi Hawa viumbe ukiona wanataka talaka ujue wanataka umiliki wa mali bila mume kuwepo!

Ikishafikia hiyo hatua mkabidhi halafu sepa akiamua kuuza au kufanyaje atajua yeye!!

Unafikiri ukiwa na hasira utakumbuka hayo yote!!?ni Bora ukaondoka tu bila kugeuka!
 
Utakuta hata watoto sio wako, kama mke anajua wewe ni baba wa watoto wake wanne atakufanyia visa ila sio level hio alofikia huyo wako.
 
Ni kwel au unatania mkuu?? Japo hili nilishawah muuliza mtu, kuwa au kwakua wife kanizd ndio maana analeta zengwe hiz??
Katika umri mlio nao, mwanamke akikuzidi umri, ni shida. Hata mkiwa mnalingana umri ni shida. Wanawake wanapenda kuishi na mwanaume ambaye let say ana elimu zaidi yake, uwezo wa kifedha zaidi yake au umri mkubwa. Kuliko awe na mwanaume anayemzidi mwaka mmoja, atakubali awe na mwanaume anayemzidi miaka 20.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…