James Comey
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 8,759
- 14,831
Imani bila matendo imekufa. Jitenge naye.Yah, nafunga 24 hrs every Tuesday na 12 hrs every Thursday
Akili humrudia mpumbavu baada ya muda (JF 22:25).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imani bila matendo imekufa. Jitenge naye.Yah, nafunga 24 hrs every Tuesday na 12 hrs every Thursday
Unaona ujinga wako Sasa yaani sisi tunakuonea huruma huku wewe unawaza tako nyeusi za mkeo mnyaki.Ahahahah...yeye sio mbaya kama spika, ana nyama nyama angalau za kushika na tako pia lipo
Haina noma mwamba, tuendelee kumshauri ndugu yetu.Kwanini Nyerere square?
Tuonane Mnadani tule nyama
Mh. Mwenyekiti TUNDU LISU amesema ni Marufuku kukanyanga Bambalaga siwezi kwenda.
Tuondoke tuu mzee 👊Hapa sitii neno lolote blood!
Pole sana kwa changamotoHatar, kama una roho ndogo usijaribu
👍🏾👊🏾✊🏿Tuondoke tuu mzee 👊
BiNI kwel usemacho, juzi kati wakat shule zinafungua, nika deposit ada za watoto wangi wawil walio primary school, aisee brother angu alipojua alikasirika sana, akasema "mtu kachukua watoto na bado unajipendekeza kulipa school fees, umerogwa au?"
Ngoja niusome huu mkasa Ng'wanangwa leo nilikuwa na hangover Niliamua kuwa mbali na simu maana uchaguzi wa Lissu na Mbowe umenifanya nilale saa 10 alfajirKama Mimi ndo wewe nisingesimulia maana ni aibu!! Kama hujatunga story basi huna aibu mzee. Mwanamke unamuombaje msamaha na hayupo kwako Bali na yote akamtukana mzee wako Bado unaimba msamaha?
Miaka 35 Bado hujawa mwanaume na anafanya hayo yte anajua udhaifu wako 100% kwamba huna maamzi na ulikuwa una mtegemea yeye kukuamlia hata hapo kwako!!
Manyanza
🤣🤣🤣🤣Mi nashangaa skuizi watu wanapenda maushauri! Baba zetu walikua wanajua wao wanaume maisha popote mama akizingua anaachiwa mji kimya kimya mnasikia tu baba enu anafamilia amenzisha Makambako amejenga huko. Wala mzee haongei ni watu tu wamekutana nae huko
Kabisa kwasababu ukimuonea huruma akipata nafasi anakuua weweHata kwenye maombi makanisani, tunaelekezwa hakuna kumuonea huruma adui, especially akiwa ni mwanamke mchawi. Piga sana
Nitafanya hivyo chiefImani bila matendo imekufa. Jitenge naye.
Akili humrudia mpumbavu baada ya muda (JF 22:25).
Katika sababu zooote, kitanda hakijawah kuwa changamoto kwanguNi kwamba huna nguvu za kiume au tatizo nini.
Unashindwa nn kumove on na kuanzisha maisha na mahusiano mapya?
Mara nying ukiona mwanamke ana behave hivi au ana hisi anakumudu sana kunakuwa au kulikua na changamoto kitandani baina yenu.
Otherwise it doesn't make any sense
Sawa mkuu, ni jambo zuri. Wanao unalea mwenyewe au wewe na mama yao pamoja??Wanangu wakikua nitawaonyesha hii thread wajue definition ya Mwanaume dhaifu wasiwe maboya .
Sijawah muomba msamaha baada ya yeye kuondoka home.Kama Mimi ndo wewe nisingesimulia maana ni aibu!! Kama hujatunga story basi huna aibu mzee. Mwanamke unamuombaje msamaha na hayupo kwako Bali na yote akamtukana mzee wako Bado unaimba msamaha?
Miaka 35 Bado hujawa mwanaume na anafanya hayo yte anajua udhaifu wako 100% kwamba huna maamzi na ulikuwa una mtegemea yeye kukuamlia hata hapo kwako!!
Manyanza
Nimeusoma mkasa wa jamaa kwa kweli bado hajawa mwanaume kamili halafu kwanini mwanamke anakudharau kiasi hicho?Kama Mimi ndo wewe nisingesimulia maana ni aibu!! Kama hujatunga story basi huna aibu mzee. Mwanamke unamuombaje msamaha na hayupo kwako Bali na yote akamtukana mzee wako Bado unaimba msamaha?
Miaka 35 Bado hujawa mwanaume na anafanya hayo yte anajua udhaifu wako 100% kwamba huna maamzi na ulikuwa una mtegemea yeye kukuamlia hata hapo kwako!!
Manyanza