Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Mwachie kila kitu anachotaka kisheria kisha anza upya.
kila kitu tulichonacho duniani ni cha muda tu mwachie anza upya utasogea tu.
ila hafiki mbali ndani ya miaka minne atakukumbuka ndipo atakapopoteza sadaka nyingi kwa wacungaji eti akurudishe.
kingine punguza kuwa mnyonge wanawake wanapenda kutawala na hawana utii siwanyenyekevu kwa asili yao haya mambo ya samahani punguza kuwa mwanaume na sio mvulana.
 
Wakuu heshima kwenu.
Sipendelei sana kuingia deep kwenye mkasa mzima unaoihusu familia yangu , especially mimi na wife.
Ila kwa kifupi tu, wife alizingua big big big time (usiulize nini maana ni ishu serious sana inayoweza husishwa na suala la uaminifu moja kwa moja)

Na nilipotaka maelezo toka kwake, akanijibu shit kwel kweli, nikaona this is too much, nikamchapa vizuuri tu.
Ila akili ziliponirudia nikaona nimefanya sio kitu kizuri, nikamuomba radhi.

Huu ukawa mwanzo wa mambo mengi sana, wife na ndugu zake waka kaa kikao, wakamshauri kuwa aachane na mimi. Akaanza harakati za kutekeleza maazimio ya kikao chao
Baada ya 10 days, aka force akatafuta pf3, akatafuta cheti cha daktari (alihonga).
Baada ya hapo, akaenda polisi, akakata RB (koote huko alishatafuta watu yeye akisaidiana na ndugu zake). Haya yoote yalikua yanafanyika bila mimi kujua chochote, nimekuja kuyafaham too late.

Akatega siku niko ofisini, nimeondoka tumeagana vizurii kabisa kwa vicheko (Nisijue moyoni anaendelea na mipango ya kuniingiza kwenye 18 zake).
Ile narudi home, nakuta ,kabeba watoto wangu, kabeba hati ya nyumba na eneo, kabeba card ya gari na vyeti vyake vyooooote vya taaluma na ajira (mtumishi wa serikali yeye) akasepa.
Nikaja gundua kuwa ni kaka yake alimfuata.
Basi siku bother kumtafuta. Nikatoa tu taarifa nyumbani kwetu kwa wazee.

E bwana ee, baada ya hapo, nikaanza kupelekewa moto,

- nikapelekwa gender desk police kuwa nimetelekeza na situnzi familia na mimi ni mnyanyasaji, nikapangua mashtaka kwa hoja na vielelezo, kesi kule ikamgeukia yeye, hata hivyo nikamuomba radhi na kumsihi tuyamalize, akagoma kabisaa. Hakuridhika

- wazee wangu wakaja, wakakaa kama familia na familia yake, mbele ya kikao, akamtusi baba angu, akatamka kuwa hanipendi wala hanitaki tena, na hata watoto sitakaa nije kuwaona tena. Nikamsihi, kwann unafanya haya hali wewe ndio sababu ya yote haya mpaka nikakupiga , akagoma katakata, kikao hakikuisha na suluhu ila ndugu zake wakasema hii ndoa lazima ivunjike. Hakuishia hapo

- akanipeleka baraza la usuluhishi la kata, hapa lengo lake ni kupewa form no.3 ili akafungue shauri la kudai talaka mahakamani. Wale wazee wa baraza walipotusikilizaa, wakamuona hana hoja, wakamuuliza wewe ni nani aliyeingilia kati na anakuendesha na kukudanganya? Mmezaa watoto wa 4, unataka talaka ya nini?? Wakamwambia, nenda kajifikirie upya ndio urudi tena, tutakupa. Huku nako akaonekana hana hoja ya msingi, na bado nikawa namsihi aghairi maamuzi yake ila waaap. HAKURIDHIKA

- juzi kati, niko mkoa mmoja kanda ya ziwa, napigiwa simu na mkuu wa upelelezi , kuwa nahitajika kituoni.
NIkasafikiri mpaka dar, kufika na kureport, namkuta wife pale, nikakamatwa na kutiwa ndani ( lockup). Hapo polisi wakachukua funguo za nyumbani kwangu wakampa wife, akaenda akasomba vitu vya ndani, akaondoka kwenda kupanga na kuanza maisha mengine akiwa na watoto, ambao toka alipokimbilia kwao nao mwezi November 2024.

- nikatoka nje kwa dhamana, hata muda huu niko chini ya dhamana na ninatakiwa ku report kituon after every short period of time.

SASA KISA KINAANZIA HAPA JAPO NI KIFUPI
Currently ,nikagundua wife kadhamiria kunikomesha, kazi zangu ni za kusafir, ila kwasasa siwez enda safari zaidi ya week kwasababu natakiwa kituoni kila mara.
Baada ya kuondoka home, imani yangu kwake ikatoweka nikahisi huyu asije nifanyia kitu mbaya, kwa muda nikawa nalala lodge, hiz zote ni gharama natumia.
Kazi zangu ni kama zimekwama.
Kesi yangu kimsingi ni kama imeshatoka polisi, ila chaajabu ni kwamba hawataki kuipeleka mahakamani, wananisumbua sana na masuala ya ku report kila mara kituoni.
Yale matumaini yoote ambayo nilikua nahis huenda hiz za wife ni hasira tu, nikaja gundua she is seriously intending to destroy me.

Shida yangu kubwa, mimi siiwezi michezo ya ubaya ubwela. Mimi ni wale ambao Yesu alisema "mtu akikupokonya koti lako, mwachie na kanzu, pia, akikuambia twende maili moja, wewe nenda maili 2". Kwakifupi, mimi mambo ya kulipiza ubaya siyawezi.

Sasa siku moja nikiwa very frustrated, nikakutana na mwamba mmoja ni mshkaji wangu, class mate tukiwa chuo. Katika hapa na pale nikamsimulia madhira kwa uchache aliyonitendea shemeji yake. Huyu jamaa anamjua wife maana mimi nilizaa mtoto wa kwanza na huyu mama tukiwa chuo mwaka wa kwanza, na ile hustle ya malezi na matunzo walikua wanaiona maana tulikua tuna kaa hostel moja kigamboni nikiwa mwanafunzui ninaye survive kwa pesa ya boom.

Bas nilipomsimulia (hapo kabla sijawekwa ndani) , jamaa akasikitika sana. Akanitia moyo akasema yatakwisha.
Ila mshkaji niliona kalichukulia lile suala kwa uzito sana. Alitamka neno moja tu "ni yule shemeji uliyekua unamhangaikia enzi zile tukiwa chuoni??? (Over 10 years ago)"

Nikamwambia ndio huyo huyo nilioa.Basi jamaa akafikiria akasepa.

Sasa jana jioni nikiwa facebuk, akaniona online, akaniuliza "braza kimya sana, lile jambo vipi linaendeleaje?"

Nikamwambia "jambo limekaa vibaya sana, hapa penyewe nimetoka lockup nina siku 2 tu, niko nje kwa dhamana, shemeji yako kaamua kuninyoosha"

Jamaa hakua na maneno mengi, akaniuliza "hivi shemeji majina yake ni nani?"
Nikamtajia.
Akaniuliza anafanya kazi maeneo gani? Nikamtajia.

Akasema "braza, nitahangaikia hili suala kwaajili yako,wewe ni ndugu yangu tumetoka mbali, siwezi ona unateseka namna hii kisa mwanamke yeye kakaa tu ana enjoy na mmezaa watoto"

Nikauliza , "una plan kufanya nini"
Akasema "huyu, ningepata mchanga wa mahala alipokanyaga nyayo zake ingekua vizuri, ila sio kesi kwakua ushaniambia anafanya kazi maeneo gani, hii pia itasaidia"

Hapa nikashtuka, nikamwambia "braza , naomba kwanza utulie, next week natakiwa ku report kituoni pamoja na yeye, baada ya kusikia nini kinazungumziwa huko nitakupa feedback kwanza"

Akasema "sawa, na kabla hujakwenda huko, nitakuambia nini cha kufanya"

Wakuu, hapa kwa akili yangu ndogo kabisa, nikajua tu kuna "juju" linataka kuandaliwa, wife apigwe "kimbola/kombora" ila nikasema kwanza "hold on".

Wazee mimi si mtu wa mambo hizo.
Na hata kama huyu mama kashaamua kunipiga pini, ila bado tuna watoto nae na anao yeye, hata kama yeye kanikusudia mabaya, honestly mimi bado namuwazia mema.

Japo kwasasa nishaona kuwa hakuna dalili wala matumaini yoyote ya sisi kuwa pamoja tena, na nimeshaanza ku move on, na yeye alishaga move on kitambo i think ndio maana ananitenda ubaya huu.
Mke wa miaka 15, tulioana na kuzaa mapema sana, maana mimi ndio kwanza sasa nina 35 yrs na yeye 36 yrs.
Ila kiukwel kanikusudia mabalaa mabaya sana, na mshkaji wangu anataka kupambana nae kupitia teknolojia ya "anga za juu", ila mimi kiukwel, I DO NOT WISH HER ANYTHING BAD".

Ungechukua uamuzi ganu juu ya msaada kama huu ninaopewa na mdau wangu?

Jioni njema
Bro Bible inasema kuna wakati wa vita na kuna wakati wa amani. Kaa na watu uvae viatu. Huyu dawa yake ni ndogo sana sema hutaki kujiongeza mzee. Huhitaji kutumia ndumba ila anatakiwa ajue kuwa wewe ni mwanaume. Japo cjajua kwanini hutaki kumpa talaka. Maana hii yote ni talaka.
 
Huyo rafiki yako mzuri sana.
Kwa vile ameshaonesha anataka kukusaidia kupitia teknolojia na wewe hufungamani na upande huo, mwache alipue vinu vya nyuklia halafu wewe unatulia jirani na adui unakuwa unasikiliza report na kutuma kwa kamanda in chief kama apunguze au aongeze kombora la uzito upi.

Ubaya ubwela!
 
Kama ni chai Fanton Mahal utajaza mwenyewe. Na assume si chai. Hapa tunajifunza nini! Ni tatizo la kuanza maisha ya ndoa mkiwa wachanga, kwa nyakati hizi, inafikia pahala ndoa inakuwa shubili.

Wanawake kwa kawaida wanaishi leo, kesho itajipanga yenyewe. Katika ndoa, kipindi cha kufurahia ndoa ni wakati mwanamke hajapokea ujauzito. Baada ya hapo kwa mwanamke, la muhimu ni kiumbe kilicho tumboni mwake. Akijifungua, attention ipo kwa mtoto na mume huja badaye.

Tuje kwenu, mlianza kuwa wote ukiwa na miaka 20, imagine na yeye 21, ilikuwa mapema. Mke wako alikosa nafasi ya kuinjoi ujana. Kwa sasa yupo katika kipindi cha kuinjoi kuliwa, lakini Mazingira ya nyumbani kwako ni magumu kwake. Kumbuka mna watoto 4, kuna karaha na raha zake. Akitoka kazini, mama, mama, mama na usiku unahitaji K yako. Hawezi kuinjoi maana nadhani mnalala na wanenu, mpaka walale. Yeye anapenda achiachie lakini haiwezekani. Kumbuka mlianza maisha ya ndoa mkiwa wa dogo.

Maofisi yana mambo, huko alipata Mchepuko. Na kwa vile akienda guest anajiachia, lazima akuone takataka. Yeye pia ni binadamu kumbuka.

Njia ya kufanya, kama mwanaume, Kubali bao la mkono. Mwache akajitawale ainjoi huko, baada ya kuchoka, atarudi kukuomba msamaha, hapo ndipo utampokea kwa masharti na kupima magonjwa maana watoto 4 ni kazi ya ziada kuwapotezea.

Mwachie kila kitu uanze upya ili unusuru uhai wako.

Kwa nyie wengine vijana, hapa jifunzeni kutokimbilia ndoa katika umri mdogo. Achana na mawazo mgando ya kuoa bikra! Is mwanamke ambaye anatafuta ndoa. Usisahau masimulizi ya Dadakidoti na Kaka Dav wake.

Zingatia umri wa kuoa kwa sasa lazima mwanamke awe amefikisha umri wa miaka 30 au zaidi. Hapo atakuwa anajitambua na wewe uwe unamzidi umri ili akuheshimu. Napendekezaga 33 na kuendelea. Ikiwa unamzidi miaka 10 au zaidi, hapa safi sana. Ila Kumbuka mawazo yangu si sheria.

Niishie hapa
 
Kama ni chai Fanton Mahal utajaza mwenyewe. Na assume si chai. Hapa tunajifunza nini! Ni tatizo la kuanza maisha ya ndoa mkiwa wachanga, kwa nyakati hizi, inafikia pahala ndoa inakuwa shubili.

Wanawake kwa kawaida wanaishi leo, kesho itajipanga yenyewe. Katika ndoa, kipindi cha kufurahia ndoa ni wakati mwanamke hajapokea ujauzito. Baada ya hapo kwa mwanamke, la muhimu ni kiumbe kilicho tumboni mwake. Akijifungua, attention ipo kwa mtoto na mume huja badaye.

Tuje kwenu, mlianza kuwa wote ukiwa na miaka 20, imagine na yeye 21, ilikuwa mapema. Mke wako alikosa nafasi ya kuinjoi ujana. Kwa sasa yupo katika kipindi cha kuinjoi kuliwa, lakini Mazingira ya nyumbani kwako ni magumu kwake. Kumbuka mna watoto 4, kuna karaha na raha zake. Akitoka kazini, mama, mama, mama na usiku unahitaji K yako. Hawezi kuinjoi maana nadhani mnalala na wanenu, mpaka walale. Yeye anapenda achiachie lakini haiwezekani. Kumbuka mlianza maisha ya ndoa mkiwa wa dogo.

Maofisi yana mambo, huko alipata Mchepuko. Na kwa vile akienda guest anajiachia, lazima akuone takataka. Yeye pia ni binadamu kumbuka.

Njia ya kufanya, kama mwanaume, Kubali bao la mkono. Mwache akajitawale ainjoi huko, baada ya kuchoka, atarudi kukuomba msamaha, hapo ndipo utampokea kwa masharti na kupima magonjwa maana watoto 4 ni kazi ya ziada kuwapotezea.

Mwachie kila kitu uanze upya ili unusuru uhai wako.

Kwa nyie wengine vijana, hapa jifunzeni kutokimbilia ndoa katika umri mdogo. Achana na mawazo mgando ya kuoa bikra! Is mwanamke ambaye anatafuta ndoa. Usisahau masimulizi ya Dadakidoti na Kaka Dav wake.

Zingatia umri wa kuoa kwa sasa lazima mwanamke awe amefikisha umri wa miaka 30 au zaidi. Hapo atakuwa anajitambua na wewe uwe unamzidi umri ili akuheshimu. Napendekezaga 33 na kuendelea. Ikiwa unamzidi miaka 10 au zaidi, hapa safi sana. Ila Kumbuka mawazo yangu si sheria.

Niishie hapa
Bikra sio muhimu!!?? Acheni kusupport umalaya nyie watu kha!
 
Kama ni chai Fanton Mahal utajaza mwenyewe. Na assume si chai. Hapa tunajifunza nini! Ni tatizo la kuanza maisha ya ndoa mkiwa wachanga, kwa nyakati hizi, inafikia pahala ndoa inakuwa shubili.

Wanawake kwa kawaida wanaishi leo, kesho itajipanga yenyewe. Katika ndoa, kipindi cha kufurahia ndoa ni wakati mwanamke hajapokea ujauzito. Baada ya hapo kwa mwanamke, la muhimu ni kiumbe kilicho tumboni mwake. Akijifungua, attention ipo kwa mtoto na mume huja badaye.

Tuje kwenu, mlianza kuwa wote ukiwa na miaka 20, imagine na yeye 21, ilikuwa mapema. Mke wako alikosa nafasi ya kuinjoi ujana. Kwa sasa yupo katika kipindi cha kuinjoi kuliwa, lakini Mazingira ya nyumbani kwako ni magumu kwake. Kumbuka mna watoto 4, kuna karaha na raha zake. Akitoka kazini, mama, mama, mama na usiku unahitaji K yako. Hawezi kuinjoi maana nadhani mnalala na wanenu, mpaka walale. Yeye anapenda achiachie lakini haiwezekani. Kumbuka mlianza maisha ya ndoa mkiwa wa dogo.

Maofisi yana mambo, huko alipata Mchepuko. Na kwa vile akienda guest anajiachia, lazima akuone takataka. Yeye pia ni binadamu kumbuka.

Njia ya kufanya, kama mwanaume, Kubali bao la mkono. Mwache akajitawale ainjoi huko, baada ya kuchoka, atarudi kukuomba msamaha, hapo ndipo utampokea kwa masharti na kupima magonjwa maana watoto 4 ni kazi ya ziada kuwapotezea.

Mwachie kila kitu uanze upya ili unusuru uhai wako.

Kwa nyie wengine vijana, hapa jifunzeni kutokimbilia ndoa katika umri mdogo. Achana na mawazo mgando ya kuoa bikra! Is mwanamke ambaye anatafuta ndoa. Usisahau masimulizi ya Dadakidoti na Kaka Dav wake.

Zingatia umri wa kuoa kwa sasa lazima mwanamke awe amefikisha umri wa miaka 30 au zaidi. Hapo atakuwa anajitambua na wewe uwe unamzidi umri ili akuheshimu. Napendekezaga 33 na kuendelea. Ikiwa unamzidi miaka 10 au zaidi, hapa safi sana. Ila Kumbuka mawazo yangu si sheria.

Niishie hapa
Asilimia kubwa sana ya wanawake wanaoolewa wakiwa wadogo (miaka 20 kushuka chini) hua wanakuja kusumbua sana sana sana wakifika miaka 30+ hivi.. Yaani hua wanacharuka vibaya mno, hawashikiki hawaambiliki ni kama wanawehuka. Binafsi nina mifano zaidi ya mingi ya aina hiyo.
 
Aisee hii ni ngumu kumeza.
Ila mleta mada umezingua pakubwa Sana, mwanaume unakuwaje tu mnyonge kiasi kile hadi unaruhusu mwanamke kukupelekesha dezaini ile
 
Nakupa ushauri wa option mbili
Mosi : Tafuta mwanasheria nenda mahakamani vunjeni muachie kila anachotaka baada ya hapo vunja connection zote kuhusu yeye watoto hudumia kwa limit usijaribu kuwa naye tena narudia usijaribu kuwa naye tena . Karma will pay for you amini tu

Mbili: Jino kwa jino . Hapa mshikaji wako anakukubali sana ndio maana kaamua kuingilia kati bila gharama yyte , mpe Go ahead ila usiwe na huruma hata chembe kwa wife wako maana its non of your business .
 
Hii ni chai,kesi za ndoa hakuna kulazana lockup kihivyo ,ikitokea ni masaa machache tu,kesi za ndoa sio criminal
 
Kama ni chai Fanton Mahal utajaza mwenyewe. Na assume si chai. Hapa tunajifunza nini! Ni tatizo la kuanza maisha ya ndoa mkiwa wachanga, kwa nyakati hizi, inafikia pahala ndoa inakuwa shubili.

Wanawake kwa kawaida wanaishi leo, kesho itajipanga yenyewe. Katika ndoa, kipindi cha kufurahia ndoa ni wakati mwanamke hajapokea ujauzito. Baada ya hapo kwa mwanamke, la muhimu ni kiumbe kilicho tumboni mwake. Akijifungua, attention ipo kwa mtoto na mume huja badaye.

Tuje kwenu, mlianza kuwa wote ukiwa na miaka 20, imagine na yeye 21, ilikuwa mapema. Mke wako alikosa nafasi ya kuinjoi ujana. Kwa sasa yupo katika kipindi cha kuinjoi kuliwa, lakini Mazingira ya nyumbani kwako ni magumu kwake. Kumbuka mna watoto 4, kuna karaha na raha zake. Akitoka kazini, mama, mama, mama na usiku unahitaji K yako. Hawezi kuinjoi maana nadhani mnalala na wanenu, mpaka walale. Yeye anapenda achiachie lakini haiwezekani. Kumbuka mlianza maisha ya ndoa mkiwa wa dogo.

Maofisi yana mambo, huko alipata Mchepuko. Na kwa vile akienda guest anajiachia, lazima akuone takataka. Yeye pia ni binadamu kumbuka.

Njia ya kufanya, kama mwanaume, Kubali bao la mkono. Mwache akajitawale ainjoi huko, baada ya kuchoka, atarudi kukuomba msamaha, hapo ndipo utampokea kwa masharti na kupima magonjwa maana watoto 4 ni kazi ya ziada kuwapotezea.

Mwachie kila kitu uanze upya ili unusuru uhai wako.

Kwa nyie wengine vijana, hapa jifunzeni kutokimbilia ndoa katika umri mdogo. Achana na mawazo mgando ya kuoa bikra! Is mwanamke ambaye anatafuta ndoa. Usisahau masimulizi ya Dadakidoti na Kaka Dav wake.

Zingatia umri wa kuoa kwa sasa lazima mwanamke awe amefikisha umri wa miaka 30 au zaidi. Hapo atakuwa anajitambua na wewe uwe unamzidi umri ili akuheshimu. Napendekezaga 33 na kuendelea. Ikiwa unamzidi miaka 10 au zaidi, hapa safi sana. Ila Kumbuka mawazo yangu si sheria.

Niishie hapa
jamani. Dav sio wangu tena
 
Bikra sio muhimu!!?? Acheni kusupport umalaya nyie watu kha!
Tatizo ataanza kuchapwa akiwa katika ndoa mpaka achoke ndipo atatulia. Lipi bora, upate aliyetulia au atakayekuhangaisha katika ndoa
 
Back
Top Bottom