Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Huyo rafkiako kanikumbusha mbali Sana kwa kitendo chake cha uthubutu[emoji3]

Mm namjua mtu kabisaaa alifanya Jambo jema kama Hilo kwajili yamtu tena kimyakimya tu. Nilimshangaa sana
 
D
Duuh
 
Huyo rafkiako kanikumbusha mbali Sana kwa kitendo chake cha uthubutu[emoji3]

Mm namjua mtu kabisaaa alifanya Jambo jema kama Hilo kwajili yamtu tena kimyakimya tu. Nilimshangaa sana
Tupe kisa
 
NI kwel usemacho, juzi kati wakat shule zinafungua, nika deposit ada za watoto wangi wawil walio primary school, aisee brother angu alipojua alikasirika sana, akasema "mtu kachukua watoto na bado unajipendekeza kulipa school fees, umerogwa au?"
Mkuu kabla ya kuoa ulikuwa mtu wa mademu kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…