Msiache kuiomba mizimu yenu, hii ndo njia rahisi ya kufanikisha mambo

Msiache kuiomba mizimu yenu, hii ndo njia rahisi ya kufanikisha mambo

Ezra cypher

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2024
Posts
244
Reaction score
904
Msiache kuomba mizimu.

Utofauti wa maombi ya mizimu na maombi ya kawaida maombi ya mizimu yanajibu haraka Sana.

Na pia gharama za kuomba mizimu ni nafuu Sana.

Dini za magharibi ziliundwa kwa ajili yao ndo maana wao wanatukuza mizimu yao.

Sasa wewe unamuacha Babu yako unaenda kumuomba Maria au sijui nani unakuwa haupo serious.
 
YESU PEKEE NDIO NJIA YA KWELI NA UZIMA MIZIMU HAIJAWAHI SAIDIA KITU

MIZIMU IMELAANIWA NI ROHO CHAFU

MSAADA WA YESU NI WA AJABU WAKATI UNAONA HAJAKUSAIDIA KUMBE TAYARI KAKUSAIDIA HAPO NDIPO WENGI HUWA HAWAELEWI NA KUONA YESU ANACHELEWA

LAKINI NENO LINASEMA BWANA HAWAI WALA HACHELEWI KWA HAO WAMTUMAINIO
 
Mnapenda kuandika shit sana mitandaoni.

Mwenzako anaemuomba maria ana procedures ambazo zinaeleweka

Kwa nini na nyie msitoe procedures namna ya kuomba hio mizimu na ikafaidiss watu

Ila mnabaki tu na vimanenno maneno humu

Weka details, acha siaa buana
 
Msiache kuomba mizimu .

Utofauti wa maombi ya mizimu na maombi ya kawaida maombi ya mizimu yanajibu haraka Sana.

Na pia gharama za kuomba mizimu ni nafuu Sana .

Dini za magharibi ziliundwa kwa ajili yao ndo maana wao wanatukuza mizimu yao

Sasa wewe unamuacha Babu yako unaenda kumuomba Maria au sijui nani unakuwa haupo serious.
Hiyo mizimu yenyewe mpaka inakufa haikufanikisha kitu chochote, sasa inawezaje kukufanya ufanikiwe?
 
Mnapenda kuandika shit sana mitandaoni.

Mwenzako anaemuomba maria ana procedures ambazo zinaeleweka

Kwa nini na nyie msitoe procedures namna ya kuomba hio mizimu na ikafaidiss watu

Ila mnabaki tu na vimanenno maneno humu

Weka details, acha siaa buana
Ukitaka kujua mtu fukara mwenye stress za maisha angalia majibu yake katika vitu vya kawaida tu.
 
Hiyo mizimu yenyewe mpaka inakufa haikufanikisha kitu chochote, sasa inawezaje kukufanya ufanikiwe?


Huu ndo ujinga wa MTU mweusi.

Mizimu inakupa power na sio pesa au Mali.

Ukipata power anzisha baiashara jifunze kuweka akiba na kuikuza biashara.

Sasa wewe unaomba mizimu then you do nothing
 
YESU PEKEE NDIO NJIA YA KWELI NA UZIMA MIZIMU HAIJAWAHI SAIDIA KITU

MIZIMU IMELAANIWA NI ROHO CHAFU

MSAADA WA YESU NI WA AJABU WAKATI UNAONA HAJAKUSAIDIA KUMBE TAYARI KAKUSAIDIA HAPO NDIPO WENGI HUWA HAWAELEWI NA KUONA YESU ANACHELEWA

LAKINI NENO LINASEMA BWANA HAWAI WALA HACHELEWI KWA HAO WAMTUMAINIO
Mzimu ,yesu ,roho, ni vitu vya kufikirika tu .
 
Back
Top Bottom