Msiache kuiomba mizimu yenu, hii ndo njia rahisi ya kufanikisha mambo

Msiache kuiomba mizimu yenu, hii ndo njia rahisi ya kufanikisha mambo

Msiache kuomba mizimu.

Utofauti wa maombi ya mizimu na maombi ya kawaida maombi ya mizimu yanajibu haraka Sana.

Na pia gharama za kuomba mizimu ni nafuu Sana.

Dini za magharibi ziliundwa kwa ajili yao ndo maana wao wanatukuza mizimu yao.

Sasa wewe unamuacha Babu yako unaenda kumuomba Maria au sijui nani unakuwa haupo serious.
mkuu hivi unajua kinachoitwa mizimu ni majini?
 
Mnapenda kuandika shit sana mitandaoni.

Mwenzako anaemuomba maria ana procedures ambazo zinaeleweka

Kwa nini na nyie msitoe procedures namna ya kuomba hio mizimu na ikafaidiss watu

Ila mnabaki tu na vimanenno maneno humu

Weka details, acha siaa buana
biblia ipi imeelzea tumuombe Maria. Tunapaswa kuomba kwa Mungu tu through Yesu.
Vinginevyo ni umizimu

1 Timotheo 2:5​

Kwa maana kuna Mungu mmoja na mpatanishi mmoja kati ya Mungu na wanadamu, yaani mwanadamu Kristo Yesu
 
watu Wanaangamia kwa kukosa maarifa.
Wazungu wenyewe hawataki makanisa wala udini, wanasema kanisa ni taasisi za kisiasa na wanaenda wazee tu makanisani.

We komaa na madini ya watu ya kuletewa uache mizimu ya kwenu uone kama utatoboa utabaki kujiita mtakatifu hadi ufe.

Unakuta mtu anakomaa na jina la Yesu na Maria wengine wanakomaa na Muhammad.
Alafu anamsahau mzee mtafungwa, mzee Semfukwe mzee Chambo.
 
YESU PEKEE NDIO NJIA YA KWELI NA UZIMA MIZIMU HAIJAWAHI SAIDIA KITU

MIZIMU IMELAANIWA NI ROHO CHAFU

MSAADA WA YESU NI WA AJABU WAKATI UNAONA HAJAKUSAIDIA KUMBE TAYARI KAKUSAIDIA HAPO NDIPO WENGI HUWA HAWAELEWI NA KUONA YESU ANACHELEWA

LAKINI NENO LINASEMA BWANA HAWAI WALA HACHELEWI KWA HAO WAMTUMAINIO

Yeye sio mzimu? Au kwa kuwa ni mzimu wa watu weupe?
 
Msiache kuomba mizimu.

Utofauti wa maombi ya mizimu na maombi ya kawaida maombi ya mizimu yanajibu haraka Sana.

Na pia gharama za kuomba mizimu ni nafuu Sana.

Dini za magharibi ziliundwa kwa ajili yao ndo maana wao wanatukuza mizimu yao.

Sasa wewe unamuacha Babu yako unaenda kumuomba Maria au sijui nani unakuwa haupo serious.
Mizimu ni nini? Tuanzie hapo kwanza.
 
Mpaka sasa sijawaona atheists kwenye huu uzi ila ingekuwa ni kuhusu Mungu chap wangewahi kuuliza thibitisha kama Mungu yupo😀😀😀
Kama Mungu hayupo na kama mizimu haipo sijui ni nini kinacho wawasha washa kujadili vitu ambavyo havipo
 
Back
Top Bottom