joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,123
- 2,935
we dogo si juzi ulikuwa unalia unataka pesa za majiniUkitaka kujua mtu fukara mwenye stress za maisha angalia majibu yake katika vitu vya kawaida tu.
leo unaniita fukara hahaha
weka namba yako ya benk nikuwekee chochote ule mchana wa leo