joseph_mbeya
JF-Expert Member
- Nov 20, 2023
- 1,123
- 2,935
we dogo si juzi ulikuwa unalia unataka pesa za majiniUkitaka kujua mtu fukara mwenye stress za maisha angalia majibu yake katika vitu vya kawaida tu.
vipi ulipata kaz kijana?
dogo wewe ni maskini tu ona hujui tofauti ya hera na helaTafuta hera uache makasiriko ya kifukara hayo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] fukara mkubwa wewe.
hongera sanaMimi nipo kazini Muda since 2012 Ila nilikuwa najaribu kubadilisha career and nashukuru nilifanikiwa 100%
Jf is right place to be.
dogo wewe ni maskini tu ona hujui tofauti ya hera na hela
Hahaha such dumb ass
mkuu hivi unajua kinachoitwa mizimu ni majini?Msiache kuomba mizimu.
Utofauti wa maombi ya mizimu na maombi ya kawaida maombi ya mizimu yanajibu haraka Sana.
Na pia gharama za kuomba mizimu ni nafuu Sana.
Dini za magharibi ziliundwa kwa ajili yao ndo maana wao wanatukuza mizimu yao.
Sasa wewe unamuacha Babu yako unaenda kumuomba Maria au sijui nani unakuwa haupo serious.
Dumb ass mama ako aliekuzaa fukara wewe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dogo wewe ni maskini tu ona hujui tofauti ya hera na hela
Hahaha such dumb ass
biblia ipi imeelzea tumuombe Maria. Tunapaswa kuomba kwa Mungu tu through Yesu.Mnapenda kuandika shit sana mitandaoni.
Mwenzako anaemuomba maria ana procedures ambazo zinaeleweka
Kwa nini na nyie msitoe procedures namna ya kuomba hio mizimu na ikafaidiss watu
Ila mnabaki tu na vimanenno maneno humu
Weka details, acha siaa buana
YESU PEKEE NDIO NJIA YA KWELI NA UZIMA MIZIMU HAIJAWAHI SAIDIA KITU
MIZIMU IMELAANIWA NI ROHO CHAFU
MSAADA WA YESU NI WA AJABU WAKATI UNAONA HAJAKUSAIDIA KUMBE TAYARI KAKUSAIDIA HAPO NDIPO WENGI HUWA HAWAELEWI NA KUONA YESU ANACHELEWA
LAKINI NENO LINASEMA BWANA HAWAI WALA HACHELEWI KWA HAO WAMTUMAINIO
Mizimu ni nini? Tuanzie hapo kwanza.Msiache kuomba mizimu.
Utofauti wa maombi ya mizimu na maombi ya kawaida maombi ya mizimu yanajibu haraka Sana.
Na pia gharama za kuomba mizimu ni nafuu Sana.
Dini za magharibi ziliundwa kwa ajili yao ndo maana wao wanatukuza mizimu yao.
Sasa wewe unamuacha Babu yako unaenda kumuomba Maria au sijui nani unakuwa haupo serious.
mi najua mizimu ni majini yanajivika taswira ya marehemu na kujifanya roho ya marehemuMizimu ni nini? Tuanzie hapo kwanza.
Na ndio maana YAKE MIZIMU ni majini yanachukua Sura za watu walio KUFA ili kudanganya kama alivyo baba yao wa Uwongo shetanimi najua mizimu ni majini yanajivika taswira ya marehemu na kujifanya roho ya marehemu
lengo ni kudanganya na kujinyakulia waumini wa shetani