Mtu mbalimbali
JF-Expert Member
- Sep 22, 2018
- 551
- 895
🟠It's all happening in your mind
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivyo.naona tunakubaliana ni majini
Eeh lazima ukweli usemwe mkuu..Sahihi
Jambo zito hili 😂😂🟠It's all happening in your mind
Asikwambie mtu, hayo yote yanafanya kazi vizuri tu.Kuna watu waliongelea nguvu ya wazo au fikra kuvuta kitu huwa naona wana uhalisia fulani ambao binafsi naufanyia utafiti bado kuliko hawa wa mungu ,yesu shetani na mizimu🤔
Haya mambo vizazi vipya hawajui yashasahaulikaMsiache kuomba mizimu.
Utofauti wa maombi ya mizimu na maombi ya kawaida maombi ya mizimu yanajibu haraka Sana.
Na pia gharama za kuomba mizimu ni nafuu Sana.
Dini za magharibi ziliundwa kwa ajili yao ndo maana wao wanatukuza mizimu yao.
Sasa wewe unamuacha Babu yako unaenda kumuomba Maria au sijui nani unakuwa haupo serious.
Huu ndo ujinga wa wa waafrika walio wengi kuamini upuuzi wa wazungu na kusahau vya kwaoYESU PEKEE NDIO NJIA YA KWELI NA UZIMA MIZIMU HAIJAWAHI SAIDIA KITU
MIZIMU IMELAANIWA NI ROHO CHAFU
MSAADA WA YESU NI WA AJABU WAKATI UNAONA HAJAKUSAIDIA KUMBE TAYARI KAKUSAIDIA HAPO NDIPO WENGI HUWA HAWAELEWI NA KUONA YESU ANACHELEWA
LAKINI NENO LINASEMA BWANA HAWAI WALA HACHELEWI KWA HAO WAMTUMAINIO
Kuelewa huu uzi unahitaji kuwa na akili kidogo iliyochangamka.Wazungu walitengeneza mbinu ambazo ziliingilia mifumo yote ili kuutawala ubongo wa mwafrika kuanzia elimu hadi kwenye siasa na uchumiHabari za Yesu hata katika Historia zimeandikwa.
All historians believe Jesus existed here on the Earth na kama huamini historia basi utasema hata vita vya majimaji ni stori za kufikirika
VYA KWETU WA AFRICA MIZIMU UNAAKILI TIMAMU KWELI WEWEHuu ndo ujinga wa wa waafrika walio wengi kuamini upuuzi wa wazungu na kusahau vya kwao
Vitabu vingi vya kimizimu vinasema mizimu ya afrika ilitekwa na wakoloni Bado ipo utumwani.Msiache kuomba mizimu.
Utofauti wa maombi ya mizimu na maombi ya kawaida maombi ya mizimu yanajibu haraka Sana.
Na pia gharama za kuomba mizimu ni nafuu Sana.
Dini za magharibi ziliundwa kwa ajili yao ndo maana wao wanatukuza mizimu yao.
Sasa wewe unamuacha Babu yako unaenda kumuomba Maria au sijui nani unakuwa haupo serious.
Haha tena huko ndio wanabudu kabisa. Si wangekuwa matajiri?Vijijini wanaomba mizimu kila siku na wanazidi kuwa maskini