BinMgen
JF-Expert Member
- Jun 18, 2008
- 1,858
- 284
kama si sote niwa mwenyezi mungu,wengine ni wa nani?
Amesema sote, hapo hakuna wenginine tena.
Sent from my GT-I9300 using Tapatalk 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama si sote niwa mwenyezi mungu,wengine ni wa nani?
hajasema disco,kasema disc akimaanisha "discussion.....Kama katoka disco usikute kawekewa sumu ngoja postmortem
Ahsante ndg' japo ktk msafara wao uck wa leo wamevamiwa na majambaz na kuporwa kila kitu na wengine wameumia wako hospitaln' dah M/MUNGU tusaidie waja wako'
sio disco ndg n discussn'
Mwanafunz wa kiume mwaka wa tatu afariki dunia ghafla saa3 alfajil, baada ya kutoka disc na kujisikia vibaya na kufariki papo hapo, anatokea Tarime (LYOBA), R.I.P ndugu yetu.
Kerpp - Hosipitalini walienda kwa check up tu, hawakuumizwa sana ila mmoja ndio ana chechemea mdogo wangu yupo kwenye huo msafara ndio aliye tuhabarisha. hata hivyo imebidi walale Singida waendelee na safari kesho.
Kama katoka disco usikute kawekewa sumu ngoja postmortem
Inasadikika kifo cha marehemu kilisababishwa na stress za asgmnt,jamani sua punguzeni asgmnt
Hii pigeon English nayo imezidi jamani,hata undergraduate naye anakwenda ki-pigeon,kazi kweli kweli.
amina!!zamaulid hyo syo saa ya kiswahl au ulitaka nikuambie saa9 alfajr/asb, achana na hyo mambo cha msing n maomb kwa ndg yetu,
Nashukuru ndugu yangu Kerpp,mie niko Arusha.dah pole ndg yang' yaan inaniuma sana ila ndo hvyo inatubid tumuachie ALLAH, vip we uko pand gan?