Msiba wa King Majuto: Aibu yako Kikwete, aibu yetu Watanzania...

Msiba wa King Majuto: Aibu yako Kikwete, aibu yetu Watanzania...

Aibu kwako hujawapa ndugu zako wote mitaji. Wasanii nchi hii ni wengi atampa nani amuache nane?
 
Taifa lipo msibani!

Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!

Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.

Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.

Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.

Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.

Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?

Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.

Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..

Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.

Rest in Peace King Majuto.

PUMBA PLUS Hizi.kwani kukosa tractor kuna uhusiano gani na umauti wake
 
Taifa lipo msibani!

Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!

Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.

Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.

Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.

Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.

Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?

Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.

Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..

Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.

Rest in Peace King Majuto.

PUMBA PLUS Hizi.kwani kukosa tractor kuna uhusiano gani na umauti wake
 
Taifa lipo msibani!

Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!

Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.

Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.

Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.

Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.

Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?

Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.

Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..

Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.

Rest in Peace King Majuto.

PUMBA PLUS Hizi.kwani kukosa tractor kuna uhusiano gani na umauti wake
 
Yanga pia waliomba waongezewe eneo pale Jangwani ili wajenge uwanja wa kisasa, siku ikifa JK ajiandae na lawama
 
Taifa lipo msibani!

Ni msiba wa kitaifa kuondokewa na mfalme wa sanaa nchini, King Majuto. Hakuna haja ya maelezo mengi maana historia yake inajitetea!

Nimetazama nyakati za mwisho wakati anapambania uhai wake Tanzania na India. Pongezi kwa waliofanya jitihada za kumuwezesha kumudu gharama za matibabu ikiwemo Serikali na wadau wengine.

Kifo cha mzee wetu kimetuacha na aibu. Aibu zaidi kwa Rais Mstaafu wa JMT, Jakaya M. Kikwete.

Ni mara nyingi kabla ya maradhi yake Mzee Majuto amekuwa akiomba kwa unyenyekevu apatiwe msaada wa Trekta ili aweze kufanya kilimo cha nguvu.. Aliamini kilimo kitamfaa katika nyakati zake za mwisho kwa maana sanaa haikumfaa vya kutosha.

Si mara moja au mbili alituma direct ombi lake kwa Rais aliye madarakani wakati huo JK aangalie uwezekano wa kumsaidia lakini mpaka anafikwa na mauti hilo halikuwezekana.

Kama Rais wa nchi na wasaidizi wake wameshindwa kusaidia hilo, wanajisikiaje leo wanapoenda kumuaga?

Nakumbuka alisema amesikia na atalifanyia kazi. Nilitarajia BASATA wangeangalia namna ya kutumia sanaa yake kumfanikishia lengo lake.

Hayo yangetokea, pengine mzee angeweza kumudu gharama za matibabu na kupunguza risk ya kufariki mapema. Pengine angekuwa na furaha akastaafu zake sanaa akala mema.. Pengine mambo yangekuwa tofauti.. Pengine, pengine..

Watanzania tuone aibu kwa hili na liwe funzo kwa yajayo.

Rest in Peace King Majuto.
Hivi unafahamu kwamba hata hao wenye majina yao kwenye hayo matrekta kama Massey Ferguson, Ford na Valment wameshafariki?

Siku nyingine ukisikia hamu ya kujamba usije kutujambia huku JF.
 
Kugawa matrekta siyo kazi ya Rais. Halafu siku ikifika aliyopanga Mungu hakunaga wa kupinga mbona serikali iligharamia matibabu yake mpaka India akarudi afya imeimarika?
Mtoto wake aitwaye Hamza Amri aliteuliwa na JPM kuwa DAS mkoani Tanga hivi karibuni
 
Kwetu huwa tunafanya sherehe mzee wa makamo yale kufariki. Maana umri uliobakia ulikua ni umri wa kushambuliwa na magonjwa, hivyo kumfanya ateseke maishani mwake
Kabisa amefariki ana miaka 71 kasoro. Tumshukuru Mungu kwa kutupatia nafasi ya kuishi naye kwa umri mrefu zaidi. Kuna wasanii kama Kinyambe waliugua na kufariki hata miaka 30 haijafika
 
Yule mzee amefanya kazi ya maigizo kwa muda wote.

Kaingia mikataba.

Kafanya matangazo.

Kalamba deals na Al Riyami.

Kaonyeshwa Channel 10.

VHS na DVDs zimeuzwa.

Steps walikua naye.

Ana muvi alizoitwa kama mshiriki.

Unamlaumu Kikwete kwa kutotoa trekta?
Unatulaumu waTanzania?

Kuna waTz wangapi hawana jukwaa la kumlalamikia raisi?
Unaona Majuto anastahili kuliko watu wote?
Umeziangalia fursa alizowahi kua nazo?
Huu ni ukweli mchungu ambao wengi hawapendi kuambiwa mamaeee
 
Nchi yetu bana

1. Mtu unapofanya kazi ya kipato kumbuka kuweka akiba pale unapochoka kwa uzee ama kwa magonjwa

2. Serikali inategemea wananchi wake wazalishi ndio ipate kodi kwa ajili ya maendeleo sasa kila mtu akitaka serikali impe mtaji wapi na wapi?

3. Unakuta mmachinga anatokwa kwao huko anakuja mjini na kuanza kuipigia kelele serikali impatie sehemu ya kufanya kazi, sasa kila mtu atafutiwe sehemu ya kufanya kazi na serikali?
 
Watanzania mna hasira! Hahaha..

Okay nawatoa kwenye lawama, nabakisha ya JK na BASATA..

Kama mngenisoma vizuri, mngeelewa mantiki yangu.

Kikwete hata asingempa trekta, kwa nafasi yake bado alikuwa anao uwezo wa kuagiza mamlaka za chini yake ziangalie namna ya kumnufaisha au kuwanufaisha wasanii na kazi zao..

Hii mikataba mnaitaja taja tu lakini wasanii wanapigwa kinoma na hawana ubavu wa kujitetea. Mamlaka zina nguvu ya kuhakikisha hawaonewi!

Hili ni dongo kwa mamlaka. Msome katika urari huo!
Usipojisimamia mwenyewe unasubiri nani akusimamie? Ishu ya mikataba ni ishu binafsi biashara ni suala huria, ni makubaliano. Kikubwa alitakiwa ajifunze kwa kukosea mkataba wa kwanza na wa pili, inayofuata hutakiwi kukosea. Wapo wasanii wanaojielewa wametoka kwa kazi hiyo ya sanaa na wasiojielewa wanazeeka wakiwa masikini. Kuna JD, SUGU, PROF. JAY, DIAMOND na wengine wengi wapo vzuri kwasababu ya sanaa. Tatizo lao kutojisimamia vizuri na ukishindwa kujisimamia bora ukaajiri mtu wa kusimamia kipaji chako (meneja)
 
Acha lawama zisizokuwa na mashiko,muda wake wa kuishi umefika kikomo na vitabu vya dini vinasema"kila nafsi itaonja mauti".Kwaiyo unataka kusema kuwa JK ndiye kasababisha kifo chake?!!!!!
 
Wewe bwana naona umekuja kumdhalilisha mzee wetu hebu muache apumzike kwa amani please, pambana na maisha yako lawama hazikusaidii kitu nyie ndio mnawekaga mifundo tangu mtu alikunyima 'askirimu' utotoni unakua nalo hadi uzeeni.

Pathetic.
 
Back
Top Bottom