Msiba wa Mama yake Askofu Mwamakula wapandisha Joto la Kisiasa Kyela

Kyela inamhitaji Mwakyembe.Mbunge wa sasa amepwaya

Dr Mwakyembe hawezi shinda CCM kura za maoni,hela hana.
2025 CCM ni vita vya hela kati ya Mbunge Kinanasi na aliye kuwa katibu mkuu Ujenzi na rafiki sana wa Hayati Magufuli Eng Elius Mwakalinga ‘mzee wa expansion joint’

Eng Mwakalinga ana pesa sana pia.
 
Hivi Mwakalinga vipi kuhusu umri ? halafu kuna mkakati wa wazi wa kushughulikia wafuasi wa Jiwe , akiwemo Mchoma Nyavu
 
Huyo Dada nilikuwa NAMPENDA SANA ila nilipokuja kujua ni MWANAUME NIKAMUONA MPUUZI SANA.
 
Na wewe utagombea? Au wewe utaishia kuwa mpambe miaka yote?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…