Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #41
CCM haijawahi kushindaMaombi ya CDM kwa watu ni mabaya sana, mnapenda matukio - CCM siku zote itawashinda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CCM haijawahi kushindaMaombi ya CDM kwa watu ni mabaya sana, mnapenda matukio - CCM siku zote itawashinda
Tanzania siyo Kyela tuCCM haitakiwi Kyela
Ni kweli , kuna Chamwino na Kondoa piaTanzania siyo Kyela tu
Nyie makamanda uchwara kwa nini hamupromoti ziara ya Lissu kule marekani? Acheni roho mbaya😁Ni kweli , kuna Chamwino na Kondoa pia
Kyela inamhitaji Mwakyembe.Mbunge wa sasa amepwaya
Hivi Mwakalinga vipi kuhusu umri ? halafu kuna mkakati wa wazi wa kushughulikia wafuasi wa Jiwe , akiwemo Mchoma NyavuDr Mwakyembe hawezi shinda CCM kura za maoni,hela hana.
2025 CCM ni vita vya hela kati ya Mbunge Kinanasi na aliye kuwa katibu mkuu Ujenzi na rafiki sana wa Hayati Magufuli Eng Elius Mwakalinga ‘mzee wa expansion joint’
Eng Mwakalinga ana pesa sana pia.
Na wewe utagombea? Au wewe utaishia kuwa mpambe miaka yote?Bado sijafahamu sababu hasa za Wanasiasa kujazana kwenye Msiba wa Bibi yule, ambaye yeye mwenyewe hakuwa Mwanasiasa.
Bali nadhani uwepo wa Mtoto wake, mpigania haki Emmaus Bandekile Mwamakula yaweza kuwa chanzo cha kujazana kwa wanasiasa kwenye msiba huo wa mkulima mdogo wa Kijiji cha Itunge.
Sijui kama walialikwa ama la , Lakini ccm ndio waliokuwa wa kwanza kutoa salamu zao kwenye msiba huo, wakiongozwa na Diwani wa eneo hilo pamoja na Mwakilishi wa Mbunge, kama kawaida ya ccm wakaleta porojo zao za ujenzi wa barabara kutoka Community center hadi Itunge, jambo ambalo lilizua zogo msibani hapo, hii ni baada ya Waombolezaji kutokuwa na imani na CCM, wanadai porojo hizo ni za kila mwaka.
Kazi ikaanza baada ya Wawakilishi wa Chadema, ambao ni Mwenyekiti wa Mkoa wa Mbeya, China wa China na Twaha Mwaipaya kutoka Bavicha Taifa, baada ya hawa kupewa kipaza sauti Msiba ukageuka kuwa Shangwe, walipangua uongo wote wa CCM, hakika Chadema Kyela ina watu.
Sijawahi kuwa mpambe , kuhusu kugombea nitalifikiria ombi lakoNa wewe utagombea? Au wewe utaishia kuwa mpambe miaka yote?
Wewe ni mfua vyupi wa Mbowe na Lisu huna lolote zaidi ya kuwa chawa wao humuSijawahi kuwa mpambe , kuhusu kugombea nitalifikiria ombi lako