Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Umemaliza.....Ulitaka kupeleka barua ya maombi ya kazi? Au unataka kuomba nafasi katika chuo anachosoma?
Mkuu, wewe umeshakula. Na bila shaka hujamridhisha.. Vinginevyo angekutafuta yeye mwenyewe. Magoli meengi lakini mchezo wa hovyo.
Mkuu kamlete dada ako atakupa mrejesho kuhusu kuridhika. Fundi huwa hajisifii ila mtoto ye mwenyewe aliinjoy vyakutosha. Sijawahi kushindwa kumridhisha mtuUlitaka kupeleka barua ya maombi ya kazi? Au unataka kuomba nafasi katika chuo anachosoma?
Mkuu, wewe umeshakula. Na bila shaka hujamridhisha.. Vinginevyo angekutafuta yeye mwenyewe. Magoli meengi lakini mchezo wa hovyo.
Nikamsimulie ambavyo haujui kitu?!Evelyn lbda uje tujaribu ukamsimulie compact kuhusu mchezo
Je umepima afya yako?miezi kadhaa simu yake haipatikani
Jamaa fala kweliSasa simba inahusikaje na hii story yako mkuu?
HahahahahAna ngoma huyo na anafanya kuisambaza R. I. P
Yaan hashtuki kwamba hata Huko Zanzibar alienda kuuzaUlikutana na mademu wa tinder tu wanajiuza ukadhani umepata kumbe umepatikana
Kabsa jamaa hajashtuka kisa kamuona mrembo. Siku mademu warembo wako kazini ela yako tu. Asipokwambia direct anajua tu akija utamtoa tuYaan hashtuki kwamba hata Huko Zanzibar alienda kuuza
Na kwa anavojitapa ni dhahiri hajui kituNikamsimulie ambavyo haujui kitu?!
Huwezi kumpelekea mtu moto wa maana afu akukache hivo....