Msichana aliye tayari kuolewa anahitajika

G4N

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2014
Posts
4,283
Reaction score
9,925
Nahitaji msichana ambaye tutaingia ktk mahusiano ya mume na mke.

Sifa za anayehitajika
-mkristo
-umri asizidi miaka 25
-awe hajawahi kuzaa
-awe mzuri, (mbaya wa sura na shepu atanikinai mapema).
-awe mtulivu wa akili na nafsi, siyo anatamani kila kitu duniani
-awe tayari kunipenda mm kama mm siyo vitu, maana mapenzi siyo vitu.
-asiwe anatumia kilevi chochote.

Kama una sifa hizo na unapatikana mikoa ya Moro, Pwani, Dar na Tanga nipm.

Ni kwa walio serious tu.

Asante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…