Kwani wewe unaishi humu? Si unaishi mtaani? Sasa kwann hutaki mamako wa mtaani akutane nami kupitia jukwaa hili? Achana na akili za ujima.Acheni kudhalilisha Mama zetu, kwani wamekuwa bidhaa hadi muwatafute humu mitandaoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani wewe unaishi humu? Si unaishi mtaani? Sasa kwann hutaki mamako wa mtaani akutane nami kupitia jukwaa hili? Achana na akili za ujima.
Acheni kudhalilisha Mama zetu, kwani wamekuwa bidhaa hadi muwatafute humu mitandaoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu mdada nikija kwenye jiji lako unajificha
Ana kitendea kazi gari mtatafuta wote
Ana kitendea kazi gari mtatafuta wote
Sawa mkuu maana kila mtu anakuwa na kipao mbele chake nawe ndio umechagua gar
Sawa mkuu maana kila mtu anakuwa na kipao mbele chake nawe ndio umechagua gar
Mi lipo ila ni scania na daf nitamwazima ili aje nalo umkubalie akisha kuoa atanirudishia
Mi lipo ila ni scania na daf nitamwazima ili aje nalo umkubalie akisha kuoa atanirudishia
Mimi ninalo, so tunafanyaje? kikubwa usiwe mfupi tu.
[emoji2398]troublemaker 2019. all right received.
Hahahah hao bado wavulana...mwanaume huwezi kufanya hivoTatizo wanajf hamchelewi kutuandikia threads nimekutana na kibwengo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah hao bado wavulana...mwanaume huwezi kufanya hivo