Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,453
Mm sipend mwanaume asiye na gar
Sent using Jamii Forums mobile app
Demiss kwani una biashara ya kuuza mafuta?
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Demiss kwani una biashara ya kuuza mafuta?
Nitakuunganisha na mmiliki wa kiwanda cha magari cha toyota, au na gari unachagua aina?
sasa ukajibu nini?Nimepata pm 8, tano kati ya hizo zimeniuliza kama nina hela.
Mbili zinauliza gari na moja imeuliza kazi.
Hivi kwenye thread yangu nimetangaza udereva ama nimetangaza nafasi ya kazi, au nimetangaza kuwa nataka kumfadhili mtu?
Hivi wanawake wa miaka hii nani aliye waroga?
itabidi jarani maana roho isije kukutoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliouliza gari nimewajibu wakaolewe na kiwanda cha Toyota, wale waliouliza fedha nimewaambia wakaolewe na ATM na wale wa kazi nimewajibu waende ILOsasa ukajibu nini?