Msichana aliye tayari kuolewa anahitajika

Msichana aliye tayari kuolewa anahitajika

Nimepata pm 8, tano kati ya hizo zimeniuliza kama nina hela.
Mbili zinauliza gari na moja imeuliza kazi.

Hivi kwenye thread yangu nimetangaza udereva ama nimetangaza nafasi ya kazi, au nimetangaza kuwa nataka kumfadhili mtu?

Hivi wanawake wa miaka hii nani aliye waroga?
sasa ukajibu nini?
 
sasa ukajibu nini?
Waliouliza gari nimewajibu wakaolewe na kiwanda cha Toyota, wale waliouliza fedha nimewaambia wakaolewe na ATM na wale wa kazi nimewajibu waende ILO
 
Back
Top Bottom