nyaggad
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 1,160
- 693
Habari wanadungu wa jf,
Leo nipo kuwambia ukweli,yani humu ndani kuna Mdada nampenda mpaka basi, pamoja na msimamo wangu wote wangu wakutopenda wanawake nimeshindwa kuvumulia, huyu Dada yupo humu ndani ila siwezi kutaja ID yake ninamfahamu vizuri sana anapoishi huwa namwangaliaga tu na sijawahi kuongea nae hata siku moja, ila ngoja niwatajie sifa zake tu!
1)- Jackpot woman-huyu Dada sio siri anajituma sana katika utafutaji wa pesa,huwa anathubutu kufanya biashara nyingi ili mradi aongeze kipato chake/she is a risk taker.
2)- Miss independent-huyu Dada sio siri anajitegemea mwenyewe kwa kila kitu,huwa hapendi vya kupewa na mtu yoyote coz anajua bure ni gharama!
3)- Dressing code-huyu Dada sio siri huwa ananivutia sana style yake ya mavazi,anajua kuvaa mavazi yanayompendeza na yanayokwenda na wakati.
4)- Photogenic-huyu Dada sio siri huwa ananimaliza sana nikiziona picha zake kwenye. Mitandao ya kijamii kama Instagram na Facebook sio siri anajua pozi za kupiga picha na pia huwa anapendeza sana kwenye picha zake na pamba zake kali.
5)- Figure/shape-Dah!,yani sio siri huyu Dada amajeliwa umbo zuri ambalo linamvuto wa kimahaba,mwanaume yoyote akimuona lazima amtamani.
6)- Cat walk-huyu Dada sio siri huwa napenda sana tembea yake,yani akiwa anatembea huwa napenda kumwangalia tu, kwa mwendo wake wa paka na pozi za kike.
7)- Confidences-sio siri yani huyu Dada kitu kingine kinachonivutia kwake ni kujiamini kwake na huwa Mara nyingi yupo makini sana na mambo yake.
8)- Smile-huyu Dada ni moja kati ya wadada wanajua kutabasamu kweli,maana tabasamu lake huwa linaenda sambamba na macho yake,yani akitabasamu macho yake huwa kama amekula kungu yani huwa mboni ya jicho lake huwa Inangaa na kuvutia sana.
9)-High(IQ)-huyu Dada kitu kingine anauwezo mkubwa wa kuelewa jambo na kutoa ushauri ama kusaidia kutatua matatizo mbalimbali,watu wengi wamekuwa wakisifu uwezo wake.
10)-God fearing and respect-pamoja na uzuri alio nao na mafanikio yake yote,lakini bado anafanya ibada anaamini mafanikio yake yanatokana na kudra za mwenyezi mungu na pia anaeheshimu wote.
Kwa sifa hizi huwa ananivutia sana, najua atapita kusoma hapa japokuwa huwa hapendi sana ku comment, napenda kumwabia ana deserve kuwa na Gentleman na intelligent man kama mimi,kunasiku nimepanga kumwambia live,l akini Leo nimeanza Jf.
Leo nipo kuwambia ukweli,yani humu ndani kuna Mdada nampenda mpaka basi, pamoja na msimamo wangu wote wangu wakutopenda wanawake nimeshindwa kuvumulia, huyu Dada yupo humu ndani ila siwezi kutaja ID yake ninamfahamu vizuri sana anapoishi huwa namwangaliaga tu na sijawahi kuongea nae hata siku moja, ila ngoja niwatajie sifa zake tu!
1)- Jackpot woman-huyu Dada sio siri anajituma sana katika utafutaji wa pesa,huwa anathubutu kufanya biashara nyingi ili mradi aongeze kipato chake/she is a risk taker.
2)- Miss independent-huyu Dada sio siri anajitegemea mwenyewe kwa kila kitu,huwa hapendi vya kupewa na mtu yoyote coz anajua bure ni gharama!
3)- Dressing code-huyu Dada sio siri huwa ananivutia sana style yake ya mavazi,anajua kuvaa mavazi yanayompendeza na yanayokwenda na wakati.
4)- Photogenic-huyu Dada sio siri huwa ananimaliza sana nikiziona picha zake kwenye. Mitandao ya kijamii kama Instagram na Facebook sio siri anajua pozi za kupiga picha na pia huwa anapendeza sana kwenye picha zake na pamba zake kali.
5)- Figure/shape-Dah!,yani sio siri huyu Dada amajeliwa umbo zuri ambalo linamvuto wa kimahaba,mwanaume yoyote akimuona lazima amtamani.
6)- Cat walk-huyu Dada sio siri huwa napenda sana tembea yake,yani akiwa anatembea huwa napenda kumwangalia tu, kwa mwendo wake wa paka na pozi za kike.
7)- Confidences-sio siri yani huyu Dada kitu kingine kinachonivutia kwake ni kujiamini kwake na huwa Mara nyingi yupo makini sana na mambo yake.
8)- Smile-huyu Dada ni moja kati ya wadada wanajua kutabasamu kweli,maana tabasamu lake huwa linaenda sambamba na macho yake,yani akitabasamu macho yake huwa kama amekula kungu yani huwa mboni ya jicho lake huwa Inangaa na kuvutia sana.
9)-High(IQ)-huyu Dada kitu kingine anauwezo mkubwa wa kuelewa jambo na kutoa ushauri ama kusaidia kutatua matatizo mbalimbali,watu wengi wamekuwa wakisifu uwezo wake.
10)-God fearing and respect-pamoja na uzuri alio nao na mafanikio yake yote,lakini bado anafanya ibada anaamini mafanikio yake yanatokana na kudra za mwenyezi mungu na pia anaeheshimu wote.
Kwa sifa hizi huwa ananivutia sana, najua atapita kusoma hapa japokuwa huwa hapendi sana ku comment, napenda kumwabia ana deserve kuwa na Gentleman na intelligent man kama mimi,kunasiku nimepanga kumwambia live,l akini Leo nimeanza Jf.