Msichana wa kazi za ndani

Wewe waangalie tu kuna wengine wanjiita majina bandia na ni wezi kuna msichana mmoja anajiita jenifer ana pua ndefu kidogo anaongea kichaga na kihehe ogopa hiyo namba chonde chonde msije pokea msichana huyo mwizi,mchonganishi kwa ujumla msanii usijemwachia watoto uko kazini ukidhani atawaudumia,mhehe mchaga.
 


Know what....I love this post.,...hakuna kitufe cha 'love'.....niseme tu kitu kimoja,,, mimi siwezi kujilinganisha na Hussain Bolt kwenye mbio , najitamua kuwa uwezo wangu ni kutembea tu basi...King'asti nimekumiss ujue ivo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…