Msichana wangu anasumbuliwa x wake

Abadilishe line za simu kabisa ikiwezekana chukua namba zake we mpe namba mpya za kwako uziweke pending kwa muda, kila atakapopiga simu atakuna na wewe....


Kama haitoshi siku muite kupitia msichana wako halafu umuonye onyo kuu ukiwa na watu mbali mbali
 
Jamaa ameblokiwa kwenye simu ila sasa jamaa anamtafuta kwa macho, baadae msichana ananiambia kilichotokea.
 
Mkuu hata mimi kuna ex wangu anaolewa nimemsumbua hadi kakubali kuingia mkataba nisiwe namsumbua tena...

Makubaliano ya mkataba wetu.

Kwa mwaka tutakutana mara nne kufanya tendo yani kila baada ya miezi minne,
Atanisave kaka,
Tutakua tunachat mara moja moja mchana kama kaka na dada mpka siku za tendo zikaribie,
Kama akipata mimba basi sihusiki ni ya mumewe.

Take care mkuu
 
Pole sana. Ila hii ni dalili mbaya sana kwa hiyo ndoa ijayo.
1. Mchumba wako ameshindwa kusikitisha mawasiliano na X wake?!
2. Tangu waachane na X wake ni miaka mingapi sasa?!
Jiandae kisaikolojia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…