Msichana wangu anasumbuliwa x wake

Nikweli ,mana jana nilijaribu kuongea na x wake uyo kumuelekeza juu ya kile anachokifanya, baadae x wake akampigia demu akimshtumu anataka kutugombanisha, demu ananiwakia mimi kwa nini nimwambia kila kitu jamaa na kumtaja yeye ndie aliyeniambia.
HUNA CHAKO HAPO... pole sana bro!! Ogopa sana demu anaekosa msimamo...
 
Unajua ukipenda inakuwa kama upofu demu amejitahidi kuonesha kwa watu kwamba mimi ni mtu wake, ukienda fb cover picture yake niyakwangu, yani apa ninapoishi kila mtu anajua natoka nae, ata mimi nilidhia kiasi cha kumtambulisha she's my wife to be.
Wanafiki wengi ndo walivyooo[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama alikuwa anakunwa vizur mzee baba kaza kiuno na pia kama waliachana kwa amani tu jiandae kisaikolojia alafu wapenz hawachani huwa wanajificha tu wasionekane na usijue na ukimfuatilia utaumia sana.

We piga kimya tu mwanamke asiekuwa na bikra s wako huo ndio ukweli uliopo.

Ndio maana wazee walishasema mwanamke Bora Ni yule uliemkuta na bikra na ndio maana tukapewa siku ya "honeymoon"
 
Hahahaha wanawake sio watu kabisa.
Mimi nimecheza nao sana na saikolojia zao.
Yaani huwa Kama watoto hata wawe na umri kiasi gani huwa hawakui kabisa.
 
Umeingilia mapenzi ya watu, halafu unakuja kulalamika hapa. Hapo ni dhahiri kuwa wewe ndiye umevamia kambi ya watu na ukiona dada anakwambia hivyo ujue analiwa anakuzuga usijue na hata ukijua atengeneze defensive.
 
Mimi nakushahuri, muache.. tafuta mwingine mwenye msimamo. Uyo lazima aje aliwe yan. Wew piga chini.
 
Nilishakuwa katika mazingira kama hayo nilimtokea demu mkali ambaye aliachana na mtu wake...nikawa napiga lakini kimachale chale ...demu akawa analazimisha ndoa nikamwambia hamna shida ila anipe muda kidogo....tulikuwa tunakaa mikoa tofauti kumfata mwenzio ni kama masaa 9 hivi...hivyo tulikuwa tunakutana timely ...akapata mimba ...kila nikipiga hesabu za mimba kutokana na taarifa za kliniki hesabu hazi-correlate ikabidi nivae uso wa kazi ...majibu yake oh kuna siku eti x wake alimpigia simu ..wakakutana kisha eti akambaka...mzee nikawa mpole nikambembeleza na kumpa mahope kibao ...nilipochomoka tu ..tena kipindi hicho unamiliki laini unavyotaka ...hakuna usajiri wa alama za vidole ikawa ADIOS
 
Hahahaha wanawake sio watu kabisa.
Mimi nimecheza nao sana na saikolojia zao.
Yaani huwa Kama watoto hata wawe na umri kiasi gani huwa hawakui kabisa.
Mkuu kunywa maziwa yamoto hapo ntalipa,aisee hii kitu nime proof uwezi amini ni ukweli kabisa.
 
Wanaume hawasumbui Wanawake ambao sio kigeugeu ...

Ukiona anasumbuliwa ujue Hana msimamo huyo mwanamke wako na jamaa anataka ku take advantage yw udhaifu Huo..
 
Wanaume hawasumbui Wanawake ambao sio kigeugeu ...

Ukiona anasumbuliwa ujue Hana msimamo huyo mwanamke wako na jamaa anataka ku take advantage yw udhaifu Huo..
Kabisa mkuu, hapo uyo kijana kuna nguvu anaipata na anaitumia kama weakness point kwa huyo dada yani hapo kazi ipo. Apige chini
 
Mruhusu warudiane
Demu ananiambia awezi rudiana na jamaa, nimejaribu kuongea na dada yake ameniambia demu hamind mchizi. Sema jamaa ni playboy na muongeaji sana, kwa kifupi ni mtu wa misifa.
 
Kabisa mkuu, hapo uyo kijana kuna nguvu anaipata na anaitumia kama weakness point kwa huyo dada yani hapo kazi ipo. Apige chini
Uyu demu kwa ninavyomjua uyo jamaa ni boy wake wa pili, na mapenzi yao yalikuwa private ila alipokuja kwangu akayaweka public, aliniambia ananipenda mimi ndio mana kila kitu kiko wazi. Na nilimuuliza isiwe ananitumia mimi kuwaumiza watu.
 
Wewe ninakupendaga bure, unaushauri murwaa munoo, kama una kidume hakieleweki njoo chochote utakacho nakupa
Msichana wako ndio atakayelimaliza hilo, asitishe mawasiliano naye mana kuna uhakika mkubwa pengine yeye ndio anamfanya jamaa asichoke kusumbua
 
Wanaume hawasumbui Wanawake ambao sio kigeugeu ...

Ukiona anasumbuliwa ujue Hana msimamo huyo mwanamke wako na jamaa anataka ku take advantage yw udhaifu Huo..
Uyu jamaa uwa anajisifu hakuna mwanamke anae mtaka akamkataa just anamwongerea imekuwaje uyu mwanamke aweke kipaumbele mm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…