Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee anatema yai la ukweli bila kepepesa macho mazee!
Ni kweli ila huyo mtoto hajali kabisa au hajui jana ktk mahijiano na BBC idhaa ya kiswahili alijiita hivyo.Neno Zeruzeru limekaa kinyanyapaa sana,sisi jamii ya wastaarabu tunaita ulemavu wa ngozi.
Umeukimbi Uzi wako mwenye unakuja kudandia Uzi mwimgine, huu ni ubaguzi kama ulivyo ubaguzi wa kikabila. Sasa na huyu msichamanataka ajulikane kwa ualbino wake badala ya jina lake au utu wake. Sijaona hata mtu mmoja anataja jina lake kwanza kabla ya ugonjwa wake wa ngozi.Mwanzi1 karibu....
Hilo ni jina la kiswahili lisilo na tatizo lolote.Neno Zeruzeru limekaa kinyanyapaa sana,sisi jamii ya wastaarabu tunaita ulemavu wa ngozi.
Katafute historia ya hilo jinaHilo ni jina la kiswahili lisilo na tatizo lolote.
Wewe binafsi ndio una element za unyanyapaa.
Makeup ya ngozi yake ni utambulisho wa kipekee ambao naamini hata yeye anajivunia.Umeukimbi Uzi wako mwenye unakuja kudandia Uzi mwimgine, huu ni ubaguzi kama ulivyo ubaguzi wa kikabila. Sasa na huyu msichamanataka ajulikane kwa ualbino wake badala ya jina lake au utu wake. Sijaona hata mtu mmoja anataja jina lake kwanza kabla ya ugonjwa wake wa ngozi.
Alieandika atakuwa mkenya, hivyo sishangai.Futa neno zeru zeru...
Tupia hapa hiyo historia watu wasome. AsanteKatafute historia ya hilo jina
Ahsante.