Msidanganyike na magari yao ya kifahari! Ata Matajiri na Mastar wana “Daily Drivers”!

Msidanganyike na magari yao ya kifahari! Ata Matajiri na Mastar wana “Daily Drivers”!

Mad Max

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
26,961
Reaction score
77,890
Iwe Tanzania na Duniani, tumezoea kuona msanii fulani amenunua gari fulani la kifahari.

Magari mengi ya kifahari hayapo practical kwa matumizi ya kila siku.

Sasa hapa ndio daily driver cars zinapoingia, izi za kuendesha kila siku.

Mfano:

Unakuta Diamond Platnumz amenunua Rolls Royce lakini daily yake ni Prado.
IMG_0128.jpeg

Kuna kipindi Masanja alikua na X6, kuna siku tulienda kumfanyia diagnosis alisema daily yake ni Harrier.
IMG_0130.jpeg


Daily driver cars nyingi ni reliable, easy na cheap ku-maintain, haileti attention, rafiki kwenye mafuta, nk.

Ndio maana ata nje celebrities wanajua kuna magari ya kuendea kwenye occasions na kuendea supermarket.

IMG_0131.jpeg
IMG_0132.jpeg

Ukishajua ilo, itakusaidia. Haina haja ya kununua daily driver kama Juma Jux yeye ana madude tu ya Ulaya.

IMG_0133.jpeg


Au kuna dogo ana range ina number WANAMAN jamani mliomuuzia kueni na huruma.
 
Kuna mwamba ana pesa za kutosha, anamiliki ma scania kadhaa na miradi mengine.

Kwake kumepaki gari kama nne za kifahari ikiwemo vogue. Lakini kila ukikutana nae mjini kwenye pirika pirika zake kama sio Honda click basi Corolla E100 na ukimuuliza anakwambia ni practical kwa shughuli zake za kila siku.
 
Iwe Tanzania na Duniani, tumezoea kuona msanii fulani amenunua gari fulani la kifahari.

Magari mengi ya kifahari hayapo practical kwa matumizi ya kila siku...
Magari ya gharama yako used occasionally, huwa tunalala humu humu kwenye Wajapenga. Mpaka niwe na mtoko special ndio nawasha mtambo special. Maybatch unaenda nayo Tabata ili ugundue nini? Barabara zenyewe mbovu kama za kuzimu
 
Iwe Tanzania na Duniani, tumezoea kuona msanii fulani amenunua gari fulani la kifahari.

Magari mengi ya kifahari hayapo practical kwa matumizi ya kila siku...
Tafuta hela. Kuna watu daily drive whatever it is ni roller, hio x6 ndio kabisa gari ya kila saa maana sio siku tena.
Vitu kama Ferarri au Lambo au Bugatti ndio huwa za siku maalum. Ukiwa na hela kila gari ni reliable coz unanunua brand new. Watu wanahangaika na magari mazee ndio maana kelele za unreliability haziishi.
 
Back
Top Bottom