Msidanganywe eti sasa hivi hali ya maisha ughaibuni ni rahisi

Msidanganywe eti sasa hivi hali ya maisha ughaibuni ni rahisi

Kwahiyo unawashauri wenzio waende wapi?
Maana Hadi kwenye vyama sasahivi wamekaza tigo😂😂
Mkuu popote tu ila ninasikitishwa na baadh ya watu ambao hawasemi ukweli na kuwadanganya watu. Wale wanafugaga baharini kuingia Italy wakishafika ndo wanakumbana na ukwe. Unakuta wameshadaganywa sana na waliotangulia huku wakifika wanakutana na mateso makali. Kuna mmoja alinisimuliaga alitoka Italy kafika Denmark rafiki yake tena kijiji kimoja kutoka nijeria akumpokea. Alimuambia akifika Denmark kuna kazi yakuendesha malori dah
 
Duuu kwahiyo nisikilizie kwanza,maana nishaanza kuchukua hatua za kujilipua Scandinavian countries Aisee!
Bongo ngumu Sana Aisee,Bora nusu Shari kuliko Shari kamili!

Tunatishana Sana ndugu zanguni!
 
trick kama hiyo hadi huko inafanya kazi sema mtonyo wake ni kidogo sana
Mtonyo mdogo kwasababu wengi si matajiri ila kama laki mbili au sita za bongo kwa mwezi ukijiwekea mkakati lazima utawatoa. Sasa kama huko nao wanne tano siyo mchezo.

Kkuna rafiki yangu kutoka Gambia yani mchizi kichiz ananichekeshaga. Ananiambia siyo dhambi kuwachkulia hela kidogo dogo hawa mabibi kwasababu tunashare the loot. Serikali zao zinaiba sana afrika.
 
Lkn tusibishe sa'bu hii corona imeleta balaa kubwa sana,hv kwa nchi km UAE,Qatar na nyingine Uarabuni hali ipoje nako ni tight, maana sasahv naona watu wengi haswa wakenya wana kimbilia kule, kutoa hz nchi za Saudia na Oman...ambao ni wanyanysaji
 
Wacha tuje tutajirekebishia huko huko
Mkuu ni vizuri mtu aje ajionee. Kuna Dogo flani mwaka jana alikuja kusoma huku. Kaingia kwa mbwembwe nikamtahadharisha asiweke ekspekteshen sana aende tu taratibu l. Nilikutana naye majuzi kati kawa mpolee.

Wachumi wametabiri hali itaanza kujirudia kawaida kwaanzia mwanzoni 2023. Fikiria walioajiriwa walikuwa wanapokea mishahara kama milion saba hadi 10 za bongo sasa wanaishi kupitia social benefits na government assistance and handouts ndo chanzo che dipreshen suicide na talaka na zimekithiri sasa. Hakuna shida mbaya kwa binadamu kukosa helamfukoni. Hasira sasa zimegamia kwetu wahamiaji
 
Mkuu ni vizuri mtu aje ajionee. Kuna Dogo flani mwaka jana alikuja kusoma huku. Kaingia kwa mbwembwe nikamtahadharisha asiweke ekspekteshen sana aende tu taratibu l. Nilikutana naye majuzi kati kawa mpolee.

Wachumi wametabiri hali itaanza kujirudia kawaida kwaanzia mwanzoni 2023. Fikiria walioajiriwa walikuwa wanapokea mishahara kama milion saba hadi 10 za bongo sasa wanaishi kupitia social benefits na government assistance and handouts ndo chanzo che dipreshen suicide na talaka na zimekithiri sasa. Hakuna shida mbaya kwa binadamu kukosa helamfukoni. Hasira sasa zimegamia kwetu wahamiaji

hao mabinti wanaopewa talaka kwa sababu ya haki ngumi waambie wajilipue waje Bongo hawatojutia....huku unaweza kuwa na madanga nane....unacollect 50k kwa kila mmoja per day...
 
Vipi huko uswisi mkuu. Pole nimeona leo Asernal mmeangukia pua vibaya sana
Unachokisema ni sawa kabisa, sasaivi kumeoza but tuvute subra pengine 2022 kutatulia

Miongoni mwa vitu vinavyonitia Stress ni Arsenal nakosa furaha na najihisi hasira sana kila inapofungwa
 
Mkuu ni vizuri mtu aje ajionee. Kuna Dogo flani mwaka jana alikuja kusoma huku. Kaingia kwa mbwembwe nikamtahadharisha asiweke ekspekteshen sana aende tu taratibu l. Nilikutana naye majuzi kati kawa mpolee.

Wachumi wametabiri hali itaanza kujirudia kawaida kwaanzia mwanzoni 2023. Fikiria walioajiriwa walikuwa wanapokea mishahara kama milion saba hadi 10 za bongo sasa wanaishi kupitia social benefits na government assistance and handouts ndo chanzo che dipreshen suicide na talaka na zimekithiri sasa. Hakuna shida mbaya kwa binadamu kukosa helamfukoni. Hasira sasa zimegamia kwetu wahamiaji
Huyo dogo aka chill hapo christiania apoteze mawaz 😂😂

Ova
 
Ni mwendo wa odd tu,,kweli maisha ni magumu lkni Ni bora kukaa nchi yenye unemployment rate ya 5-12% kuliko huku kwetu ni asilimia hata 60%..tena nchi nyingine wanakupa na benefits kbsa kama umekosa kazi😆😆...huku kumezidii
 
Kwa hiyo yule mwehu ndama anatupanga tuzibe masikio au tupunguze sauti ya redio?
 
Mkuu hapo koge,nje ya Copenhagen kna jamaa wana asili ya lebanon wazazi wao walihamiaga
Huko naona walitusua,huko ndiko wanaweka ma used items wanauzia wafrika

Ova
Siku hizi imekuwa ngmu wameanzisha nao tozo. Mapopo kasi ya kupeleka magari na vipuri west Africa imeungua. Kuna export duty tax wameiweka. Mapopo wanalaani kichiz
 
Hakuna Waafrika masikini kama wanaoishi Nordic countries na Scandinavia. Mimi nimeishi Norway miaka zaidi ya 15.

Wanakula, wanavaa, wanalala vizuri halafu wanajiona wapo mbinguni ukilinganisha na maisha ya Tanzania. Lakini kiukweli kwa viwango vya hizo nchi wanazoishi wapo mwisho kabisa katika jamii. Chini. Takataka.
 
Ni mwendo wa odd tu,,kweli maisha ni magumu lkni Ni bora kukaa nchi yenye unemployment rate ya 5-12% kuliko huku kwetu ni asilimia hata 60%..tena nchi nyingine wanakupa na benefits kbsa kama umekosa kazi😆😆...huku kumezidii
Ndio kwa huku kuna unafuu angalau lakini wewe mgeni uje huku ndo uanze upya ni ngumu. Watu wana roho mbaya sana kukukaribisha hata uishi nao. Uwongo ni mwingi sana. Usimuamini mtanzania anayeishi ughaibuni kwa kusimulia. Fika huku uone utakavyopigwa chenga. Msaada wako utakuwa kwa wengine tu. UCHOYO NA UWONGO ndo hulka ya wabongo mamtoni. Halafu maisha yetu ya kawaida tu tunaunafuu
 
Lkn tusibishe sa'bu hii corona imeleta balaa kubwa sana,hv kwa nchi km UAE,Qatar na nyingine Uarabuni hali ipoje nako ni tight, maana sasahv naona watu wengi haswa wakenya wana kimbilia kule, kutoa hz nchi za Saudia na Oman...ambao ni wanyanysaji
Oman sio wanyanyasaji,uarabuni nako hali si shwari kuna nyomi la watu kutoka nigeria,ghana,cameroon,kenya,uganda,india,bangladesh,pakistan,nepal,phillipines wanaranda mitaani hawana kazi na hata wenye kazi kampuni nyingi zinafeli kulipa mishahara au kucheleweshwa malipo.
 
Back
Top Bottom