Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Ni ukweli bro nimeishi Norway pia Oslo, Bergen na Trondheim. Ila ukiwa mjanja unasave. Mimi hadi mwaka jiana kwaanzia 2013 nilikuwa naishi kwenye shared apartments na wakati mwengine student apartments. Group langu walikuwa mapopo. Sikuwa nabagua kazi. Na nilikuwa nafanya 16 hours pee day. Kuna pia vrestaurant na night club ambavyo vilikuwa karibu na ghetto nilkuwa siachi japo ni masaa mawili black jobu.Hakuna Waafrika masikini kama wanaoishi Nordic countries na Scandinavia. Mimi nimeishi Norway miaka zaidi ya 15.
Wanakula, wanavaa, wanalala vizuri halafu wanajiona wapo mbinguni ukilinganisha na maisha ya Tanzania. Lakini kiukweli kwa viwango vya hizo nchi wanazoishi wapo mwisho kabisa katika jamii. Chini. Takataka.
Siyo kivile ila raia wao wengi usafiri sana kwenda kubeba boksi kwengine. Poles and other eastern European countries wanaweledi sana wakuchuma mboga, kabeji, berries na apole. Licha ya hizo kazi ni wadokozi sana.Hivi mkuu kumbe Poland, Ukraine na Estonia ni nchi masikini hapo Ulaya?
Hakuna maisha huko bro. I have been through it all, trust me. You are always at the bottom of the social economic ladder. Year after year with zero social economical mobility, unless you're in a lasting relationship with a local mzungu. You can't even make it to to the point of being credit worthy to be eligible for a car mortgage or apartment/house mortgage from banks or lending institutions.Ni ukweli bro nimeishi Norway pia Oslo, Bergen na Trondheim. Ila ukiwa mjanja unasave. Mimi hadi mwaka jiana kwaanzia 2013 nilikuwa naishi kwenye shared apartments na wakati mwengine student apartments. Group langu walikuwa mapopo. Sikuwa nabagua kazi. Na nilikuwa nafanya 16 hours pee day. Kuna pia vrestaurant na night club ambavyo vilikuwa karibu na ghetto nilkuwa siachi japo ni masaa mawili black jobu.
Fikiria ningepanga nyumba yangu mwenyewe ningelipa kama kama milion moja laki mbili lakini kwenye hii shared apartments nilikuwa nalipa laki nne sasa wew fikiria nilikuwa na save laki nane kwenye kodi. Ulaya pia ni ujanja tu ubahili na kubana matumizi. Nimesavu sana
Kila kitu kinakuwa kigumu...Siku hizi imekuwa ngmu wameanzisha nao tozo. Mapopo kasi ya kupeleka magari na vipuri west Africa imeungua. Kuna export duty tax wameiweka. Mapopo wanalaani kichiz
Ulikuwa unai mji gani Norway?Hakuna maisha huko bro. I have been through it all, trust me. You are always at the bottom, of the social economic ladder, year after year, zero social economical mobility unless you're in a lasting relationship with a local mzungu.
Bergen na Oslo. Nimeenda huko kihalali kabisa na makaratasi from day one.Ulikuwa unai mji gani Norway?
Kama huja ujuzi na mipango nje kunaweza kuwa kugumu kuliko kwenu. Umenikumbusha rafiki yangu aliyetaka kukimbia Dar kwenda Nairobi asijue ni jehanam. Kwa vile naijua miji yote miwili, nilimsaidia kwa kumpa ukweli kuhusu Kenya ambayo watanzania wengi hudhani ina maisha mazuri kuliko Tanzania wakati mambo ni kinyume. Angalia utitiri wa wakenya nchini. Ni sawa na watu wanaokimbilia Afrika Kusini. Kimsingi, Ulaya kuna maisha hasa kama unaamua kufanya kila kazi huku ukiwekeza kwenye masomo. Vinginevyo, kuna kero na kiza kweli kweli hasa kwa wale wanaoingia kinyume cha sheria.Mkuu popote tu ila ninasikitishwa na baadh ya watu ambao hawasemi ukweli na kuwadanganya watu. Wale wanafugaga baharini kuingia Italy wakishafika ndo wanakumbana na ukwe. Unakuta wameshadaganywa sana na waliotangulia huku wakifika wanakutana na mateso makali. Kuna mmoja alinisimuliaga alitoka Italy kafika Denmark rafiki yake tena kijiji kimoja kutoka nijeria akumpokea. Alimuambia akifika Denmark kuna kazi yakuendesha malori dah
Copenhagen Dn,nazikubaligi sana story zako za experience na exposure za Ulaya..big up sana mimi sina experience ya Ulaya sehemu pekee niliyokaa tena miaka michache sana kimasomo ni USA tena sijamaliza hata hiyo degree hukoMkuu ni vizuri mtu aje ajionee. Kuna Dogo flani mwaka jana alikuja kusoma huku. Kaingia kwa mbwembwe nikamtahadharisha asiweke ekspekteshen sana aende tu taratibu l. Nilikutana naye majuzi kati kawa mpolee.
Wachumi wametabiri hali itaanza kujirudia kawaida kwaanzia mwanzoni 2023. Fikiria walioajiriwa walikuwa wanapokea mishahara kama milion saba hadi 10 za bongo sasa wanaishi kupitia social benefits na government assistance and handouts ndo chanzo che dipreshen suicide na talaka na zimekithiri sasa. Hakuna shida mbaya kwa binadamu kukosa helamfukoni. Hasira sasa zimegamia kwetu wahamiaji
Kuna video nimeiona jana youtube jiji la philadephia maisha ni magumu hatari serikali haina msaada kimbilio la watu ni kula unga,jiji limejaa mateja kila mahali uchafu ndo usiseme, mpaka nikahisi labda ndo matokeo ya chanjo.."mtakuwa mazombi" in gwajiboy voice...ingia youtube mwenyewe uone. HALI NI MBAYAMzuka wanajamvi!
Nitasema tu ukweli. Hali ya maisha sasa hivi ughaibuni / ulaya ama mamtoni ni ngumu sana.
Maisha yamekuwa Magumu sana hasa kwaanzia mwezi wa tatu mwaka jana baadaya hii Corona.
Maelfu na Maelfu wamepoteza kazi zao na kujiandikisha kwenye employment benefits.
Kazi za kubeba boksi ni za kugombania. Mfano mzuri tu Denman Norway na Sweden. Nayosema haya ni kweli kwaanzia kufagia kazi za jikoni hotelini usafi na ujenzi yani kuna uhaba. Na ukipata hizo kazi basi sana sana ni mara mbili kwa wiki au tatu tena kwa masaa machache machache.
Kingine usidanganywe eti ni rahisi tu sasa hivi ukapata visa halafu uje huku ukafanikiwa mara moja l.
Sasa kuna ushindani mkubwa kwenye hizi kazi za kubeba boksi kutoka kwa mataifa ya eastern European Polish, Ukrainians, Estonians na wengine. Pia jamii ya kihindi Nepalese, bangladeshi, pakistani na wahindi wanapewa sana kipaumbele hasa kwenye kusafisha meli na huko napo wamepunguzwa wengi safari za meli sasa hivi zimepungua.
Sasa hivi hadi baadhi ya marubani na flight attendants wa SAS Scandinavia airline wanafanya food delivery kusambaza msosi majumbani ndo angalau angalau sasa hivi ndo kazi ya boksi inayolipa.
Ni wale tu wanaofanya kazi kwa wazee ndo hawajaathiriwa na wanaingiza hela ndeefuuu kichiz nawaona mabinti wadogowadogo wanaendesha ndinga za hatarii. Kozi za kutunza wazee nizakugombaniwa kwasababu unakuta wote wenye degrees masters hadi phd za uchumi, biashara computer sayans wanagombania hizi kozi za unesi za kutunza wazee ambazo ziko kwenye level za VETA za huku.
Denmark kuna ile GreenCard yao sasa waliopata wakobmatatani kuderpotiwa kwasababu hawana kazi wamepunguzwa haki za binadamu wanajitahidi kuingilia kati kuwasaidia kwasababu ni janga limesababisha na hali hadi itulie ni mwanzoni 2023. Ila immigration policy ya Denmark siyo rafiki kabisa kwa wahamihaji. Na sasa vyama vyenye mrengo wa far rights ndo zinasomba Scandinavia. Norway ni center right kitatoka, Sweden ni left kitatoka, fina land ni left nacho kitatoka na vyote agenda ni immigeation. Na hivi viko serikalini nao wanakaza hili kuwafurahisha Wananch.
NASEMA UKWELI HAMNA KAZI ZA KUMWAGA ZA KUBEBA BOKSI SASA HIVI ULAYA. NA MSIDANGANYWE ETI UTASAIDIWA KUJA HUKU MAMBO YA KAENDA VIZURI.
Kuna hiki aKila kitu kinakuwa kigumu...
Kuna wakati tulikuwa tunakusanya
Sana compressor za mafriji,naskia
Sahv walizuia kuzitoa mambo ya mazingira
Kama kutoa idadi ndogo
Ova
Unamfaham Hamisa, liliab na siku?Bergen na Oslo. Nimeenda huko kihalali kabisa na makaratasi from day one.
Simjui. Mimi ni old school.Ila Chiku ndiyo Mtanzania nlimkuta ameishi Bergen miaka mingi zaidi. lkn kuna Watanzania wengi niliwakuta Bergen, watu poa sanaKuna hiki a
Unamfaham Hamisa, liliab na siku?
Poland kiumeni kama ukraine tu sema uanachama wa EU umewaboost kama ulivowaboost waromania na wabulgariaNilibahatika kukaa Poland wakati huo kuingia EU
Bado dah,lile bichi lilikuwa gumu sana
Ova
Okay mkuu nakuamini ulikuwa Bergen kama unamjua Chiku. Nilisikia alimpoteza binti yake. . Chiku dada wakisingida mnyaturu. Huyu Hamisa pisii kichiz mcheshi mchangamfu ni mzenji tulikuwa tunapiga naye kitu cha Arusha. Nilikuwa nabeba boksi Galleria Chinese fishing. Dah Bergen zile nyumba milimani. Utakuwa unamjua tu Hamisa BAK nadani anafahamSimjui. Mimi ni old school. Chiku alikuwa mwenyeji wangu
Okay mkuu nakuamini ulikuwa Bergen kama unamjua Chiku. Nilisikia alimpoteza binti yake. . Chiku dasa wakisingida. Huyu Hamisa pisii kichiz mcheshi mchangamfu ni mzenji tulikuwa tunapiga naye kitu cha Arusha. Nilikuwa nabeba boksi Galleria Chinese fishing. Dah Bergen zile nyumba milimani. Utakuwa unamjua tu Hamisa BAK nadani anafaham
Hivi mkuu Austria ikoje?Naipenda kinoma!Siyo kivile ila raia wao wengi usafiri sana kwenda kubeba boksi kwengine. Poles and other eastern European countries wanaweledi sana wakuchuma mboga, kabeji, berries na apole. Licha ya hizo kazi ni wadokozi sana.