mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 8,860
- 11,554
Salary inaanzia dola ngapi kwa mwezi?Ni kazi ambazo haziitaji elimu yoyote, ni Kama vile kuhamisha mizigo mfano bizaa kutoka kweNye magari kuingiza super market, kubeba maboksi kutoa sehemu 1 kwenda sehemu nying, kufanya usafi super market, kupanga bidhaa super market n.k Yani kwa kifupi ni kazi za kuzaraulika zisizohiyaj elimu ila kwa Ulaya watu kupitia kaz hizo wanaishi wanajenga na kusomesha watoto kwa huku kwetu Africa.
Sasa unabeba box miaka 10+ hujawa na uwezo wa kuwekeza Tanzania ukaishi kitajiri bado unalia lia kuna maana gani ya kukaa hukoMkuu Semenya sitishi watu nimeamua tu kusema ukweli. Niko kwenye gem ya kubeba boksi to 2009 na nilikuwa nabeba boksi masaa 16 kwa siku. Kampuni nyingi za cleaning na za restaurants zinanifaham. Hali ni mbaya hasa kwa migrants
Acha kutisha watu weweHakuna maisha huko bro. I have been through it all, trust me. You are always at the bottom of the social economic ladder. Year after year with zero social economical mobility, unless you're in a lasting relationship with a local mzungu. You can't even make it to to the point of being credit worthy to be eligible for a car mortgage or apartment/house mortgage from banks or lending institutions.
Wachana nao, wengi wa Watanzania huku ni watu wanaotegemea kuuza dawa, ndio maana utaona huyo mwingine anakuambia kuna msala nilifanya nikarudishwa. Wakenya wenzetu wana nidhamu wanachotaka ni wapate Pesa na Elimu warudi kwao wakafanye kitu sisi wanarudi na story tupu
Waache kutisha watuWachana nao, wengi wa Watanzania huku ni watu wanaotegemea kuuza dawa, ndio maana utaona huyo mwingine anakuambia kuna msala nilifanya nikarudishwa. Wakenya wenzetu wana nidhamu wanachotaka ni wapate Pesa na Elimu warudi kwao wakafanye kitu sisi wanarudi na story tupu
anamiliki toyota yaris usd elfu kumi na tanoSasa unabeba box miaka 10+ hujawa na uwezo wa kuwekeza Tanzania ukaishi kitajiri bado unalia lia kuna maana gani ya kukaa huko
Ajabu sana, Wakenya wanafanya kazi na e kusoma wakirudi CV kurasa Saba. Ana ideas za maana anafanya hata kazi ya consultant tu hateseki uzeeni. Wabongo wakirudi ni hadithi tuanamiliki toyota yaris usd elfu kumi na tano
Korea unalipwa kwa masaa unayofanya kaz Mkuu hakuna mshahara wa mwezi ,ni wastani wa tsh 40,000/: ila Mimi sikubahatika kipata hizo kazi. Korea ni adimu mi nilikuwa nasoma nje ya mji hapakua na kaz hizo Mkuu.Salary inaanzia dola ngapi kwa mwezi?
Heshima inaanzia kwenye pesa kwanza kabla ya mambo mengine
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
Ahahaaa....ule ni ufadhili vyuoni tunaita boomkama wewe umeshindwa kutusua usitishe watu...kuna jamaa kaweka uzi hapa anasave 80k kroner kwa mwezi!!!!
kwa nini haukubaki huko utafute kazi baada ya kumaliza masomoKorea unalipwa kwa masaa unayofanya kaz Mkuu hakuna mshahara wa mwezi ,ni wastani wa tsh 40,000/: ila Mimi sikubahatika kipata hizo kazi. Korea ni adimu mi nilikuwa nasoma nje ya mji hapakua na kaz hizo Mkuu.
Mkuu uliamua tu kurudi. Inaonekana mambo yako bongo swafi hadi unarudi kwa hiari. Mkuu lakini wakati huo wewe unarudi Norway mambo yalikuwa safi sana nakumbuka kuna show ray c ilikuwa aperform hakuja na watu walichanga hela nadhani ilikuwa 2020 walimmaindi kichiziSawa. Wewe inabidi uniamkie Shikamoo maana wakati huo hata Norway nilishaondoka😅😅😅
Mkuu usiongee usichokijua nina nyumba nne selfu bongo. Nina mashamba ya kutosha. Gari lilikuwepo wakaliharibu nikasema this is bullshit. Na hela tu ya kutosha savings ninayo. Mabenki hapa kila uchwao wananiomba nichukue mortgages na mkopo credit yangu ipo safi. Niko qualfy kuchukua hata mkopo wa million 200 za kibongo. Karibuni nafile citizenship hapa pata hii passport nyekundu. Sina shidaSasa unabeba box miaka 10+ hujawa na uwezo wa kuwekeza Tanzania ukaishi kitajiri bado unalia lia kuna maana gani ya kukaa huko
Mkuu uliamua tu kurudi. Inaonekana mambo yako bongo swafi hadi unarudi kwa hiari. Mkuu lakini wakati huo wewe unarudi Norway mambo yalikuwa safi sana nakumbuka kuna show ray c ilikuwa aperform hakuja na watu walichanga hela nadhani ilikuwa 2020 walimmaindi kichiziSawa. Wewe inabidi uniamkie Shikamoo maana wakati huo hata Norway nilishaondoka😅😅😅
Mkuu ni kweli kabisa. Halafu za kuzibua vyoo mmatumbi huwezi pewa kwasababu ni za ktaalam. Huingiu hovyo hovyo. Hata za kuchimba kaburi. Zatu sisi, ni vyombo, fagio. Hata kubeba wazee lazimahuende shule na ndio kazi nzuri sana yani kozi yake sasa hivi inagombaniwa hadi wahitimu wa masters degrees na PhD. Unakuta mtu and masters anafagia ndo maana wanamngangania kubeba wazee zinalipa kichiz halafu sasa hivi naona vibinti vya kibongo na Kenya na visomali vinafanya iyo kazi vizuriii halafu vinaendesha ndingaa za hatariDah, mkuu usiniambie zile kazi za kuosha vyombo na kuzibua sasahivi zimekuwa adimu. Mkuu wacha tukomae hapa hapa.
Ahahaaa....ule ni ufadhili vyuoni tunaita boom
Huko Mkuu Kuna baridi Sana ,sikupenda Hali ya hewa ya huko ,pia nilikua muajiriwa na nilikua tayari na mke na watoto hivyo sikuweza kuendelea kubaki huko baada ya masomo .kwa nini haukubaki huko utafute kazi baada ya kumaliza masomo
Sent from my SM-C7000 using JamiiForums mobile app
hapo sawaHuko Mkuu Kuna baridi Sana ,sikupenda Hali ya hewa ya huko ,pia nilikua muajiriwa na nilikua tayari na mke na watoto hivyo sikuweza kuendelea kubaki huko baada ya masomo .
Kumbe wa Poland nao Wana njaa??Wapolishi wanajitumaga kubeba boksi sana halafu mabaguzi kichizi