Hata tukio la Lisu lilikuwa drama tu ndiyo maana dereva alifichwa hadi leo...Of course hili la Ole Sendeka ni drama tu. Yaani washambuoiaji washambulie gari peke yake?
Kuna la mbinu la la kutafuta huruma ya wananchi kwenye uchaguzi wa mwakani kupitia drama hii.
Kagonga Mke wa MTU, wala wasihusishe issue ya Lissu na huu upumbavuTundu Lissu hakushambuliwa vichakani Wala msituni, alishambuliwa katikati ya jiji ,Tundu lissu alishambuliwa mchana jua Linawaka. Hili la ole sendeka limetokea huko simanjiro aangalie namna anavyoishi na watu ,huko kwao.
Pambanua kwa kueleza bayana tofauti zilizopo kwenye matukio haya mawili.Nimeona wengi wanajaribu kulifananisha Shambulio la Ole Sendeka na lile la Tundu lissu, haya matukio ni tofauti kabisa wengine wamedhulumiana ama pesa ama ardhi au ni wizi wa kawaida.
Shambulio la Lissu lilikuwa spesho kwa ajili ya kuondoa uhai wake na lilikuwa haswaa Linahusu siasa!
Tundu Lissu hakushambuliwa vichakani Wala msituni, alishambuliwa katikati ya jiji ,Tundu lissu alishambuliwa mchana jua Linawaka. Hili la ole sendeka limetokea huko simanjiro aangalie namna anavyoishi na watu ,huko kwao.
Jiwe kafa kwasababu ya laana ya shambulio la Lisu. Jiwe alikuwa mshenzi sana.Hata tukio la Lisu lilikuwa drama tu ndiyo maana dereva alifichwa hadi leo...
Zile gololi zilirishwa kutokea ufipa ili kumtisha Magufuli aachane na mradi wa bwawa la umeme
Lakini mpaka leo Lisu anaishi kwa kupakatwa na wazunguJiwe kafa kwasabb ya laana ya shambulio la Lisu. Jiwe alikuwa mshenzi sana.
DUNIA UWANJA WA FUJO by KEZIRAHABI.Lakini mpaka leo Lisu anaishi kwa kupakatwa na wazungu
Na serikali yako ya ccm imepakatwa na mabeberu,hadi leo budget yako ya nchi inategemea hao hao mabeberu,unafiki mkubwa wa walafi ndio unaoizamisha nchi yetu,kama upo karibu na channel 10 kwa sasa,angalia mjadala wa kanda ya ziwa ni unafiki mkubwa,uongo na kujikomba,wachangaji wote ni pretenders,huyu msukuma ni zero kabisaLakini mpaka leo Lisu anaishi kwa kupakatwa na wazungu
Ole Sendeka Kajipiga risasi kutafuta huruma kwa wapiga kura kuelekea 2025….propaganda hizo …asipotezee watu mudaNimeona wengi wanajaribu kulifananisha Shambulio la Ole Sendeka na lile la Tundu lissu, haya matukio ni tofauti kabisa wengine wamedhulumiana ama pesa ama ardhi au ni wizi wa kawaida.
Shambulio la Lissu lilikuwa spesho kwa ajili ya kuondoa uhai wake na lilikuwa haswaa Linahusu siasa!
Tundu Lissu hakushambuliwa vichakani Wala msituni, alishambuliwa katikati ya jiji ,Tundu lissu alishambuliwa mchana jua Linawaka. Hili la ole sendeka limetokea huko simanjiro aangalie namna anavyoishi na watu ,huko kwao.
Kama anavyopakatwa baba yakoLakini mpaka leo Lisu anaishi kwa kupakatwa na wazungu
muhimu kuheshimiana na kutokudhulumiana 🐒Nimeona wengi wanajaribu kulifananisha Shambulio la Ole Sendeka na lile la Tundu lissu, haya matukio ni tofauti kabisa wengine wamedhulumiana ama pesa ama ardhi au ni wizi wa kawaida.
Shambulio la Lissu lilikuwa spesho kwa ajili ya kuondoa uhai wake na lilikuwa haswaa Linahusu siasa!
Tundu Lissu hakushambuliwa vichakani Wala msituni, alishambuliwa katikati ya jiji ,Tundu lissu alishambuliwa mchana jua Linawaka. Hili la ole sendeka limetokea huko simanjiro aangalie namna anavyoishi na watu ,huko kwao.