Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Aende haraka sanaMchungaji Msigwa anaelekea ACT wazalendo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aende haraka sanaMchungaji Msigwa anaelekea ACT wazalendo
Zilizokufikia bwasheee!Mchungaji Msigwa anaelekea ACT wazalendo
Msigwa ana haki ya ku block yeyote asiyependa kuwasiliana nae, ni uhuru wake na asipangiwe. Tatizo kubwa ndani ya upinzani wanahubiri demokrasia ilia hawezi kuishi kwenye demokrasia. Ukiwa tofauti kimtizamo utaitwa msaliti, umefika bei, au kibaraka.Msigwa kumbe yuko soft minded sana, sikujua; ieleweke kwamba siku zote kutofautiana na wenzio kimsimamo kwenye taasisi yenu kuhusu jambo fulani, hakumaanishi umejiunga kwa wale unaodhaniwa, unachotakiwa kufanya ni kubaki ukijitambua huku ukiujua uelekeo wako.
Namaanisha kwamba, hata mkitofautiana jambo moja kitaasisi/binafsi, bado kuna uwezekano mkakubaliana kwenye jambo lingine, na hili kama lingefanyika lingemrudishia Msigwa kuaminiwa.
Lakini kwa kisirani chake cha kuwa "block" wenzake, na kuendelea kubaki na msimamo wake kuhusu Ngorongoro huku akipigiwa debe na lumumba, ameharibu.
Alitakiwa awaache wale waendelee kumsema vibaya lakini bado awe nao pamoja, awe marafiki nao asijenge nao uadui, kwani mbele angekuja kuaminika tena hili la sasa litakapopita, huu ni upepo tu, lakini Msigwa ameacha huu upepo umchukue.
Hili kama lingefanyika lingesaidia kubadilisha "mindset" ya upinzani wetu, kuunga mkono jambo la mpinzani wako kungeanza kuzoeleka, isingeonekana na kosa, lakini Msigwa ameshindwa kujiongeza ili aje kuonekana shujaa baadae, Msigwa kaamua kuendeleza "precedence" hii ya kumuunga mkono mpinzani wako kisiasa kwa jambo fulani ionekane ni kosa.
Matokeo yake kwa huu uamuzi wake sasa atazidi kuwa na maisha magumu ndani ya Chadema, na asipokuwa makini atajikuta anakimbilia CCM bila kupenda ila kwa kukosa kwake maarifa ya kui "handle" situation aliyopo, na sijui kama akikimbilia huko CCM halafu itokee akatofautiana tena na wenzake atakimbilia wapi kwa hiki kisirani chake cha kitoto alichofanya.
Ni kweli kabisa ila malengo ya upinzani nini?alikuwepo Zitto na Slaa. hivi kuna mtu anaweza kutuyumbisha kuzidi hao?
Hapa Iringa anafungua matawi na AbwaoAende haraka sana
Msigwa ndio alitakiwa kuwa "advocate" wa hiyo demokrasia anayohubiri badala ya kuwa block wenzake, kitendo cha kuwa block maana yake pia hataki mawazo tofauti na yake, amefeli.Msigwa ana haki ya ku block yoyote asiyependa kuwasiliana nae, ni uhuru wake na asipangiwe. Tatizo kubwa ndani ya upinzani wanahubiri demokrasia ilia hawezi kuishi kwenye demokrasia. Ukiwa tofauti kimtizamo utaitwa msaliti, umefika bei, au kibaraka.
Ulitaka awe anabishana kwa mambo ya kitoto tu ambapo wenye kumchokoza wana nia ovu?No, he is not, ameonesha hana ukomavu wowote kwa hili alilofanya.
Amefungua wapi na wapi?Hapa Iringa anafungua matawi na Abwao
Amefungua wapi na wapi?
Uwudesi wako veve!Chiku anashughulikia mambo ya mzee Afla Masudi hafungui tawi wala majani.😂😂😂😂Makorongoni na Mkimbizi
CCM Wakipishana huwa wanafanyaje au huwa hawatofautiani.Moja ya vitu ambavyo CHADEMA huwa wanafeli,ni pale ambapo wakipishana hoja wanaanza kuparuana!
Umemsahau yule aliewapa talaka bwana kigogoCHADEMA imeharibiwa na wanaharakati wa mtandao akina maria na martini na wenzao. Chama hakina sera wala mwelekeo tena.
Msigwa hawezi kukaa na mazuzu ya chadema yanayojua kutukana tuMsigwa kashafika bei hana namna zaidi ya kuunga mkono juhudi
Kwa hiyo wewe siyo bavicha kumbe?Chadema, wanaharakati hawajui siasa na ndio maana inakuwa taabu kuaminiwa...
Chadema ina vijana wengi ambao ni waropokaji tu
Nyie bavicha ni [emoji205]kabisa!alikuwepo Zitto na Slaa. hivi kuna mtu anaweza kutuyumbisha kuzidi hao?
Kwani yeye Nani ! Kaondoka Dr. Slaa, na wengineo lukuki Bado CHADEMA iko imara hata kayafa aliapa kuua CHADEMA akafa yeye....